Loading...

UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI

Loading...
UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI
link : UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI

soma pia


UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI

Jana tarehe 14 Agosti, 2018 ujumbe kutoka CRDB ukiongozwa na Mkurugenzi wake Dk. Charles Kimei ulifanya ziara katika Ofisi za Tume ya Madini zilizopo jijini Dodoma lengo likiwa ni kufahamu majukumu na shughuli za Tume.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia) akibadilishana mawazo na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya (kushoto) kwenye Ofisi za Tume ya Madini zilizopo jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia) akifafanua jambo kwenye kikao kilichoshirikisha ujumbe wake na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya akifafanua jambo


Hivyo makala UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI

yaani makala yote UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/ujumbe-wa-crdb-wafanya-ziara-tume-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UJUMBE WA CRDB WAFANYA ZIARA TUME YA MADINI"

Post a Comment

Loading...