Loading...

WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI.

Loading...
WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI.
link : WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI.

soma pia


WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI.


Katibu kamati wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Ndg. Chacha Nyakega akizungumza na Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Mwanne Mchemba (Kushoto) akimsikiliza Katibu kamati wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Ndg. Chacha Nyakega (kulia) ambae ni mtoa maada akizungumza na Wajumbe wa kamati hiyo (hawapo kwenye picha) wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimsikiliza Mkurugenzi wa kamati za Bunge Ndg. Athuman Hussein (wa pili kulia) wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ambae pia ni Mbunge wa Mpanda Mjini, Mhe. Sebastian kapufi (katikati)akisisitiza jambo wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma. Kushoto ni Mjumbe na Mbunge wa Mgogoni Mhe. Dkt. Ally Suleiman na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Silafu Maufi
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Ndogo, Mhe. Taska Mbogo (Kushoto)akizungumza na Wajumbe wa Kamati hiyo ambao pia Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa majadiliano katika semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Ndogo ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika majadiliano baada ya semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma


Hivyo makala WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI.

yaani makala yote WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/wajumbe-kamati-za-bunge-wajengewa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAJUMBE KAMATI ZA BUNGE WAJENGEWA UELEWA KUHUSU DHANA YA MISWADA ITAKAYOJADILIWA BUNGENI KATIKA MKUTANO WA BUNGE LA KUMI NA MBILI."

Post a Comment

Loading...