WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJIlink :
WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI
WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI
SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema kwamba kutoka mwaka 2010 imeingiza katika uchumi wa Tanzania zaidi ya dola za Marekani milioni 278 kutokana na huduma mbalimbali inazotoa kusaidia wakimbizi ambao wapo nchini.
Aidha fedha hizo zimeingia katika mfumo wakati Tanzania inatumika kama kituo cha lojistiki kusaidia maeneo mengine ya ukanda wa Afrika Mashariki wenye matatizo.
Hayo yamesemwa katika maadhimisho ya Siku za msaada duniani, inayokumbukwa kuadhimisha mauaji ya watoa misaada wakati wa mashambulio ya anga ya Baghdad, Irak miaka kadhaa iliyopita.
Aidha siku hiyo inaadhimishwa Agosti 19 kila mwaka kutoa neno kwa jamii ya dunia kuwakumbuka watoa misaada ambao wapo katika hatari ya maisha kutokana na vurugu zinasumbua duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Mwakilishi Mkazi wa WFP nchini Tanzania, Michael Dunford alisema kwamba kumekuwepo na uingizaji mkubwa wa fedha katika uchumi wa Tanzania ikiwa ni pamoja na kuwa na kusaidia chakula kwa wakinbizi waliopo nchini Tanzania kwa kusaidiana na mashirika mengine.
Kwa Tanzania kwa sasa inahifadhi wakimbizi 297,000 kutoka Burundi na Kongio (DRC) katika maeneo ya Nyarugusu, Nduta na Mtendeli mkoani Kigoma .
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) nchini Michael. Dunford.
Hivyo makala WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI
yaani makala yote WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/wfp-yaadhimisha-siku-ya-misaada-kwa.html
Related Posts :
ARSENAL vs CHELSEA 4-1 | Full Penalty Shootout | community shield Cup |w... Posted: 06 Aug 2017 02:04 PM PDT *TAARIFA YA KAMATI YA KUSIMAMIA KESI YA KAKA MAYOR* Posted: 06 Aug 2017 10:04 AM PDT Ndugu zetu Watanzania, tunatumai mko katika hali njema. *Tulipofika Mpaka sasa:* ▪Tumefanikisha swala la Mwanasheria, Stephenie Lewis. Amechukua malipo ya kuanzia ya *$5,000*ambayo yataingia kwenye escrow account. ▪Ametoa kadirio la gharama ya kesi kuwa kati ya *$20,000 na $30,000* na hii itategemea swala zima la gharama za dhamana *(bond)* ▪Tumefungua akaunti ya benki, Bank of America sambamba na gofund me ili kurahisisha ukusanyaji wa michango. Gofund, imekusanya *$16,566*mpaka tunaingia mitamboni. Na hii kabla hatujatoa ile *$5,000* ambayo tumekopeshwa. ▪Harambee rasmi itafanyika wiki ijayo, baada ya kujua gharama za dhamana(bond). Lakini Jumaapili hii, wanakamati Watakuwepo kwenye kikao cha maandalizi ya DMV Labor day Party, Kukusanya Michango zaidi. ▪Aunty Baybe na dada Rebecca walimtembela kaka Meya, yuko salama.Anawashukuru kwa upendo mliomuonyesha, na anawasalimu. ▪Shughuli rasmi ya kufuatilia dhamana na kesi yote kwa ujumla itaanza Jumatatu. Tutawapasha habari za yatakayojiri, siku zinavyokwenda. ▪Tunawaomba musisite kuhamasisha michango kwani ndio kwanza tuko nusu ya lengo. http://ift.tt/2vwAn10 Bank of America: Acc # *446039288677* Routing# 052-001-633 Ernest B. Kessy Jasmine R. Bennett. Kwa maelezo zaidi au maoni wasiliana na: Ali Mohamed 3015009762 Baybe Mgaza 2022005031 Raju Tambwe 4433177440 Jasmine Rubama 4103719966 Mganga Muhombolage 2023740988 Iddi Sandaly 3016135165 Kessy Metro Tires 2024135933 Jabir Jongo 2406040574 Tunawashukuru sana. Ahsanteni. Wanakamati. Wajumbe Bodi Umwagiliaji kukamatwa Posted: 06 Aug 2017 05:02 AM PDT MKUU wa Wilaya ya Kilombero, James Ihunyo ameagiza kukamatwa kwa Wajumbe wa Bodi ya Skimu ya Umwagiliaji ya Mkula kutokana na kuchelewesha kwa makusudi malipo ya mkopo walioupata kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na wanachama wa skimu hiyo, Ihunyo alisema uzembe wa bodi hiyo umesababisha kuchelewesha marejesho ya mkopo wa takribani Sh milioni 790. Aliongeza kuwa, kitendo cha bodi hiyo kinarudisha nyuma juhudi za serikali katika kupambana na umasikini nchini. Alisema kuchelewesha kurudisha mikopo hiyo kunakosesha wakulima wengine kuchelewa kupata fursa hizo za mikopo hiyo nafuu inayotolewa na TADB ambayo imelenga kuchagiza na kusaidia mapinduzi ya kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda cha kibiashara ili kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini. Akizungumza katika mkutano huo, Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Adam Kamanda alisema tangu wapatiwe mkopo huo, baadhi ya wakulima wa skimu hiyo wamekuwa wakichelewesha kwa makusudi kurejesha mkopo huo licha ya jitahada za kuwahimiza kurejesha mkopo huo. Kamanda aliongeza kuwa benki ya kilimo imejipanga kuhakikisha inatekeleza maelekezo ya serikali ya kuwawezesha wakulima nchini katika sekta ya kilimo kwa kusaidia upatikanaji na utoaji wa fedha ikiwa ni pamoja sera nzuri zitakazosaidia maendeleo ya kilimo. HABARI LEO WILAYA YA NEWALA MKOANI MTWARA INAKABILIWA NA UHABA MKUBWA WA MAOFISA UGANI NA MIFUGO Posted: 06 Aug 2017 04:58 AM PDT Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAB), Dk.Emmarold Mneney (kulia), akitoa mafunzo ya siku moja ya kilimo chenye tija kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara kwenye Maonyesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. Mkulima Lukia Hassan Nalamba kutoka Kata ya Nanyamba akizungumzia changamoto wanazokabiliana nazo kwenye mafunzo hayo. Wakulima wakiwa kwenye mafunzo hayo. Mafunzo yakiendelea. Mkulima Mohamed Ismail kutoka Kijiji cha Mnyambe wilayani Newala akizungumza kwenye mafunzo hayo. Mkulima Shazili Mpangalika kutoka Kijiji cha Mikumbi wilayani Newala akizungumzia changamoto ya wakulima kuhamia maeneo mengine kufuata bei kubwa ya mazao. Wakulima kutoka Wilaya ya Nanyumbu wakiwa kwenye semina hiyo. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), akizungumza na wakulima hao Mafunzo yakitolewa. Na Dotto Mwaibale, Lindi HALMASHAURI ya Wilaya ya Newala mkoani Mtwara inakabiliwa na uhaba mkubwa wa maofisa ugani na mifugo jambo linalochangia kuporomoka kwa kilimo wilayani humo. Hayo yalielezwa na mkulima wa wilaya hiyo, Mohamed Ismail katika mafunzo ya siku moja kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara yenye lengo la kuwasaidia kulima kilimo chenye manufaa yaliyotolewa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia kwa mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney katika maonyesho ya kitaifa ya wakulima Nanenane yanayoendelea Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. "Tunachangamoto kubwa ya uhaba wa maofisa ugani na mifugo hali inayochangia kwa kiasi kikubwa kutokuwepo kwa ufanisi wa kazi na kushindwa kuwafikia wakulima hivyo kuzorotesha shughuli za kilimo na mifugo kwa ujumla" alisema Ismail. Alisema katika kata moja yenye vijiji sita ni ofisa ugani mmoja tu ndiye anayehudumia wakulima katika vijiji hivyo tena bila ya kuwa na usafiri wa uhakika hivyo kumfanya ashindwe kuwafikia wakulima kuwapa mafunzo na kujua changamoto walizonazo. Alisema kutokana na uhaba wa maofisa kilimo na mifugo imesababisha ofisa ugani kujikuta akifanya kazi mbili ya ugani na mifugo na ofisa mifugo naye akifanya kazi ya ugani na ambayo hakuisomea. "Tunaiomba serikali kuliangalia jambo ili kwa karibu zaidi kwani bila ya kufanya hivyo Tanzania ya kuelekea uchumi wa viwanda katika wilaya hiyo itakuwa ni ndoto" alisema Ismail. Mkulima Shezili Mpangalika kutoka katika wilaya hiyo alisema kilimo cha kuhamahama kinachosababishwa na kuporomoka kwa bei ya zao la mbaazi kimechangia kuwepo kwa mimba za utotoni kwa wanafunzi na wavulana kuacha masomo kutokana na kutokuwepo kwa usimamizi wa wazazi na walezi wao wanaokimbia nyumba zao kwenda maeneo mengine kufanya kilimo chenye tija. Alisema katika wilaya hiyo wakulima wengi wamekuwa wakikimbia kutokana na bei ya mbaazi kushuka kutoka shilingi 500 hadi kufikia 400 na hivyo kuhamua kwenda wilayani Kilwa kulima ufuta ambao bei yake ni kati ya shilingi 2000 hadi 2500. "Wazazi wanapoondoka na kwenda Kilwa ukaa huko kwa zaidi ya miezi sita na huwaacha watoto wao bila ya kuwa na uangalizi maalumu wakilelewa na babu na bibi zao tena bila ya kuwa na chakula hivyo kujikuta wakijiingiza katika vitendo vya ngono isiyo salama na kupata mimba huku wavulana wakiacha shule na kushinda kijijini wakizurura. Wakulima hao walizitaja changamoto walizonazo ni mazao yao kushambuliwa na wadudu waharibifu, ukame, kukosekana kwa elimu ya kilimo,pembejeo, mvua kutonyesha kwa wakati na zao la mhogo kushambuliwa na ugonjwa wa batobato na michirizi kahawia na kuwa changamoto hizo zinalingana na wilaya zingine za mkoa wa Mtwara Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney aliwataka wakulima hao kuacha kilimo cha mazoea na kufanya kilimo cha Kisayansi kutokana na hali ya sasa ya tabia nchi. "Wakulima mnapaswa kubadilika na kuacha kulima kilimo cha zamani hivi sasa hali imebadilika hivyo mnatakiwa kufanya kilimo cha Sayansi na Teknolojia chenye tija na kufuata maelekezo ya wataalamu na kuachana na kilimo cha zamani" alisema Dk. Mneney. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), aliwataka wakulima hao kujiongeza zaidi na kubadili matumizi ya simu zao kwa kuzitumia kutafuta masoko na kuwasiliana na wenzao kuelezana changamoto walizonazo kwenye kilimo badala ya kutumia kwa matumizi yasiyo na tija. Wakulima walionufaika na mafunzo hayo ni kutoka Wilaya za Mtwara mjini, Vijijini, Nanyamba, Tandahimba, Newala, Masasi na Nanyumbu. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com- simu namba 0712727062) BAMBI BAMBI MY DEAR, MY DEAR, MY DEAR Posted: 06 Aug 2017 04:36 AM PDT BAMBI BAMBI MY DEAR MY DEAR MY DEAR...ALIITWA Bambi! Ni jina lenye asili ya Italia, jina hili hupewa mabinti wazuri waliotosheka urembo. Kama lilivyo jina lake, Bambi alikuwa Bambi kweli. Bahati yake hakuzaliwa enzi za utumwa, angevushwa bahari kwa senti kiduchu! Pendapenda alibahatika kumpata Bambi, wakapendana wangali bado vijana wenye nguvu. Mapenzi motomoto yaliwatawala wawili hawa, kuna waliozusha eti kuna wakati mapenzi yalikolea moto mpaka zikatoka cheche! Ulikuwa uzushi. Pendapenda alimpenda vilivyo Bambi wake. Alimpa kila alichokuwa nacho. Kipi Bambi aliomba akanyimwa? Hakuna! Bambi akaendelea kutumbua katika vinono alivyopewa. Kuna wakati mama yake Bambi aliugua, Pendapenda akatinga ukweni. Wakamweleza mkwe alihitaji figo. Pendapenda alitoa. Mwanaume mwenye upendo akabaki na figo moja. Upendo wa ajabu huu! Hakuishia hapo, akamjengea nyumba mama mkwe, na akaamua kuchukua majukumu yote, ya mjane yule. Alisikika akisema, “Mama we tulia… usifanye kazi nitakuhudumia!” Alifanya mambo mengi yasiyoweza kuelezwa yote. Kwa bahati mbaya ule wakati wa dharura ukafika. Kumbe Pendapenda alikopa benki akashindwa kurejesha kutokana na biashara zake kuyumba. Kila kitu chake kikachukuliwa katika mnada, akabaki kapuku wa kutupwa. Bambi msichana aliyezoeshwa starehe na aliyekuwa akiwindwa kutwa na vigogo wa jiji, akasahau fadhila zote alizofanyiwa na Pendapenda, huyoo akatokomea kwa mwanaume mwingine mwenye fedha! Pendapenda akaachwa! Pendapenda alipenda kweli. Uchungu wa kupoteza mali na mwanamke aliyempenda, ukamtia wazimu. Akili yake ikayumba! Akafikiri tofauti. Aliamua kujiua! Akatamani kunywa sumu ya panya, lakini hakuwa na pesa ya kununulia sumu. Akataka kujinyonga, akawaza akagundua hana pesa ya kununulia kamba imara! Akagundua njia moja rahisi, haraka akaelekea katika jengo moja refu, akakwea mpaka juu, akasimama. akipiga ukunga wa uchungu, watu wakajaa chini wakimbembeleza asijirushe. Bambi hakuwepo, alikuwa Visiwa vya Shelisheli akiponda starehe na bwana mwenye fedha nyingi. Pendapenda hakusikia ushauri wa mtu, moja.. mbili… tatu.. alijirusha. Jengo lilikuwa refu, niliuona mwili wake ukija chini kwa kasi, pia niliiona fulana kifuani pake yenye maandishi yaliyosomeka, ‘BAMBI BAMBI, MY DEAR MY DEAR MY DEAR…’ Sikutaka kumshuhudia akifika chini, niliamua kuondoka, hata kabla sijapiga hatua mbili, kikasikika kishindo kikubwa… ‘puuuuuuuh’… vikafuata vilio vya akinamama wastaarabu wa Pwani. GPL MASAUNI APOKEA VIFAA VYA TAMASHA LA USALAMA BARABARANI LITAKALOFAYIKA AGOSTI 12, MWAKA HUU UWANJA WA TAIFA
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea moj… Read More...
UPDATES ON WATANZANIA USA RE-UNION, MBONI SHOW IN DA HAUZZZ!This Labor Day Weekend Sept 1st - Sept 3rd Is Now Certified as The Destinations to be. Picking up another endorsement from The International… Read More...
USAJILI WANACHI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAPAMBA MOTO VIWANJA VYA NGONGO VYA NANE NANE MKOANI LINDI… Read More...
NGOMA YA MSEWE KUTOKA KISIWANI PEMBA
… Read More...
MNUSO OLD SCHOOL
OLD SCHOOL REUNION USIPIME WIKI 3 TU ZIMEBAKI COLUMBUS OHIO KIMATAIFA ZAIDI
kwa maombi ya wachezaji wa soka wanaokuja kutoka ulaya kuche… Read More...
0 Response to "WFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI"
Post a Comment