Christopher Chiza aapishwa bungeni - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Christopher Chiza aapishwa bungeni, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Christopher Chiza aapishwa bungenilink :
Christopher Chiza aapishwa bungeni
Christopher Chiza aapishwa bungeni
Mkutano wa kumi na mbili wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, umeanza rasmi leo tarehe 4 Septemba, 2018 ambapo ilikuwa kikao cha kwanza na kuongozwa na Spika Job Ndugai.
Katika kikao hicho, Mbunge wa Jimbo la Buyungu, Mhandisi Christopher Chiza aliyechaguliwa kwenye uchaguzi mdogo wa tarehe 12 Agosti, 2018 alikula kiapo cha uaminifu mbele ya bunge.
Akiapa mbele ya Bunge, Mhandisi Chiza aliapa kuitumikia, kuilinda na kuitetea katiba ya nchi kwa moyo wake wote.
Mhandisi Chiza alishinda katika uchaguzi mdogo uliofanyika baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema, marehemu Kasuku Bilago kufariki dunia. Katika uchaguzi huo alichuana vikali na mgombea wa Chadema, Elia Michael.
Hivyo makala Christopher Chiza aapishwa bungeni
yaani makala yote Christopher Chiza aapishwa bungeni Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Christopher Chiza aapishwa bungeni mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/christopher-chiza-aapishwa-bungeni.html
Related Posts :
Ubalozi wa Norway waipatia UN Tanzania dola milioni 5.1 ili kufanikisha UNDAP II Ubalozi wa Norway nchini umeipatia msaada wa dola bilioni 5.1 Umoja wa Mataifa Tanzania ili kusaidia kufanikisha Mpango wa Misaada wa Maend… Read More...
TFDA YAWANOA WASINDIKAJI WA CHAKULA MKOANI GEITA
Na,Joel Maduka,Geita.
Mamlaka ya Chakula na Dawa, TFDA imewakutanisha wajasiriamali wanaosindika chakula mkoani Geita na kutoa mafunzo yat… Read More...
Jaffo:Stawavumilia wakurugenzi na wenyeviti wa kamati za fedha ambao hawatatoa fedha za maendeleo
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Sulemani Jafo amesema hatawavumilia … Read More...
Kamati ya UN kutetea haki za Wapalestina yazungumza na Waziri Dk. MwakyembeaKAMATI maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) iliyoundwa kutetea haki za msingi za raia wa Wapalestina imekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sa… Read More...
MPINA AMSIMAMISHA KAZI MTUMISHI ALIYESHIRIKI UTOROSHAJI WA KILO 2500 ZA SAMAKI KWENDA BURUNDI ZENYE THAMANI YA SHILINGI 20,850,000.00Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga Mpina amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Yohana Budeba kumsimamisha kazi mara moja Afisa wa Ki… Read More...
0 Response to "Christopher Chiza aapishwa bungeni"
Post a Comment