Loading...

Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''.

Loading...
Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''.
link : Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''.

soma pia


Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''.

Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Ndg Hamphley Polepole (kulia) akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga Ndg.Mwita Waitara katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Ulongoni A Jijini Dar Es Saalam
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar Es Salaam Bi Cathy Kamba akizungumza wakati wa kumkaribisha Mgeni rasmi Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Ndg Hamphley Polepole kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga Ndg.Mwita Waitara katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Ulongoni A Jijini Dar Es Saalam.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar Es Salaam Bi Cathy Kamba akimkaribisha Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Ndg Hamphley Polepole kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga Ndg.Mwita Waitara katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Ulongoni A Jijini Dar Es Saalam.
Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Ndg Hamphley Polepole (WAPILI TOKA KUSHOTO) akicheza nyimbo pamoja na wanamuziki wa Bendi ya TOT  katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Ulongoni A Jijini Dar Es Saalam.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mwl Raymond Mwangwala (Kulia)akizungumza na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar Es Salaam Bi Cathy Kamba atika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Ulongoni A Jijini Dar Es Saalam.
Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Ndg Hamphley Polepole akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga Ndg.Mwita Waitara katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Ulongoni A Jijini Dar Es Saalam.
Wananchi wa Kata ya Ulongoni A Jimbo la Ukonga wakishangilia katika Mkutano wa Kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga Ndg.Mwita Waitara katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Kata ya Ulongoni A Jijini Dar Es Saalam. (Picha na Fahadi Siraji wa UVCCM)


Hivyo makala Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''.

yaani makala yote Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/katibu-wa-idara-ya-itikadi-na-uenezi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Mhe. Polepole Amnadi Mgombea wa CCM Ndg. Mwita Waitara Ulongani ''A''."

Post a Comment

Loading...