Loading...

LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI

Loading...
LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI
link : LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI

soma pia


LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza na wananchi nje ya Kituo cha Polisi Katoro, Mkoani Geita, ambao walifika kituoni hapo kuripoti matukio mbalimbali. Lugola akiwa njiani kuelekea Mkoani Kigoma, alifanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho leo,ili kujua utendaji kazi wa askari polisi wa kituo hicho na pia kujua makosa ya watuhumiwa wote waliopo katika kituo hicho. Wapili kulia ni Mkuu wa Kituo hicho, ASP Steven Kimaro.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akihoji makosa ya watuhumiwa mbalimbali (hawapo pichani) waliopo katika mahabusu ya Kituo cha Polisi Katoro, Mkoani Geita, leo. Lugola akiwa njiani kuelekea Mkoani Kigoma, alifanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho ili kujua utendaji kazi wa askari polisi wa kituo hicho na pia kujua makosa ya watuhumiwa wote waliopo katika kituo hicho. Katikati ni Mkuu wa Kituo hicho, ASP Steven Kimaro.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akiyaangalia kwa makini orodha ya majina ya watuhumiwa na makosa yao ambao wapo mahabusu ya kituo cha Polisi Katoro, Mkoani Geita, leo, wakati askari polisi wa kituo hicho, Janeth Shushu alipomletea kitabu cha taarifa mbalimbali za makosa yaliyoripotiwa kituoni hapo. Lugola akiwa njiani kuelekea Mkoani Kigoma, alifanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho ili kujua utendaji kazi wa askari polisi wa kituo hicho na pia kujua makosa ya watuhumiwa wote waliopo katika kituo hicho. Katikati ni Mkuu wa Kituo hicho, ASP Steven Kimaro.
Askari wa usalama barabarani wa Kituo cha Polisi Katoro, Mkoani Geita, Alau Mawanda (kushoto) akimuonyesha risiti Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), ambayo askari huyo alimkatia Dereva wa gari ndogo (hayupo pichani), baada ya kuvunja sheria za usalama barabani. Lugola akiwa njiani kuelekea Mkoani Kigoma, alifanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho ili kujua utendaji kazi wa askari polisi wa kituo hicho na pia kujua makosa ya watuhumiwa wote waliopo katika kituo hicho. Kulia ni Mkuu wa Kituo hicho, ASP Steven Kimaro. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Hivyo makala LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI

yaani makala yote LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/lugola-aibukia-kituo-cha-polisi-katoro.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "LUGOLA AIBUKIA KITUO CHA POLISI KATORO, AWAHOJI WATUHUMIWA MAKOSA YAO WAKIWA WAMEPANGA FOLENI MAHABUSU, AWATAKA POLISI KUTOKUNYANYASA WANANCHI"

Post a Comment

Loading...