Loading...

DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE.

Loading...
DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE.
link : DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE.

soma pia


DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE.


Na.John Luhende
Mwamba wa habari
IMEELEZWAKUWA  baadhi ya viongozi wa siasa , serikali na watumishi wa umma  wamekuwa na hawatekelezi majukumu yao ipasavyo na jambo ambalo limesabababisha keronyingi za wananchi kutotatuliwa kwa wakati.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema akiwa katika ziara maalumu ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika kata ya Upanga Mashariki  na kusema kuwa  ilikutatua kero za wananchi wa Wilaya ya Ilala ameandaa mkutano na viongozi hao ilikuwapamajuku kwaajili ya kushughuikia kero za wananchi.

“Tumegundua kuwa kunabaadhi ya viongozi wenzetu katikangazi za chini wamekuwa hawashughulikii kero za wananchi  sasa nitaandaa mkutano nitawaita  wote tupeane majukumu “alisema 

Aidha DC Mjema amesema kiongozi atakayeshindwa kwenda na kasi yake katika kushughulika na matatiza ya wananchi watawekwa pembeni.

“Tutagwakero zote kwa kila kiongozi ashughulikie na akishindwa  nitaomba mamlaka zinahusika zimweke pembeni maana atakuwa ameshindwa kwenda na kasi yetu”alisema 

Nao baadhi ya wananchi waliopata nafasi yakutoa kero  katika mkutano huo  wamemshukuru DC. Mjema kwa kuona umuhimu wa kuwasikiliza nakuoba zifanyiwe kazi ilikuondokana nazo,hukukero zao kubwa katika eneo hilo zikiwa nyumba za kupanga za shirika la nyumba  NHC,ubovu wa barabara, maji  na migogoro ya ardhi.








Hivyo makala DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE.

yaani makala yote DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/dc-mjema-watakaoshindwa-kushughulikia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC MJEMA :WATAKAOSHINDWA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI WATUPISHE."

Post a Comment

Loading...