Loading...

DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI

Loading...
DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI
link : DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI

soma pia


DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akitoa mada ya umuhimu wa mawasiliano ya kimkakati mbele ya viongozi mbalimbali wa mkoa wa Simiyu. Kwenye wasilisho lake amesisitiza kutangaza na kutetea mageuzi yanayofanywa na Serikali ya amamu ya tano.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mheshimiwa Anthony Mtaka pamoja na viongozi wengine wa mkoa huo waliohudhuria kikao cha uwasilishaji wa mada iliyohusu umuhimu wa mawasiliano ya kimkakati katika kutangaza ahadi za serikali.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji wa Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, mheshimiwa Anthony Mtaka (katikati) na Katibu Tawala wa mkoa huo Jumanne Sagini.


Hivyo makala DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI

yaani makala yote DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/dkt-abbasi-ahimiza-viongozi-wa-mkoa-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DKT. ABBASI AHIMIZA VIONGOZI WA MKOA WA SIMIYU KUTANGAZA NA KUTETEA MAGEUZI YANAYOFANYWA NA SERIKALI"

Post a Comment

Loading...