Loading...

KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA.

Loading...
KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA.
link : KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA.

soma pia


KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA.


Kocha mkuu wa timu ya Azam FC,Hans Pluijm amesema Simba na Yanga zinapaswa zijipange kiushindani hasa kuweza kufanikiwa kuishinda timu yake.

Pluijm amefanikiwa kuiongoza timu yake kucheza michezo 9 bila kupoteza, amesema kuwa yupo tayari kwa ushindani hana hofu na timu yoyote Tanzania.

"Simba na Yanga ni timu za kawaida, wala mimi hazinipi shida kabisa na ukubwa wa majina yake,ikumbukwe kuwa mpira wa miguu unachezwa uwanjani,uwezo wa vijana wangu ni mzuri kuliko wale wa Simba na Yanga" alisema


Hivyo makala KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA.

yaani makala yote KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/kocha-azam-fc-azitishia-simba-yanga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KOCHA AZAM FC AZITISHIA SIMBA YANGA."

Post a Comment

Loading...