Loading...

MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR

Loading...
MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR
link : MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR

soma pia


MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR

*Awataka wakazi wa Dar es salaam wenye picha za ngono kwenye simu zao kuzifuta kabla ya jumatatu.


Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 17 na kuwapa majukumu ua kuhakikisha jiji la Dar es salaam linakuwa na amani, maadili na utamaduni wa mtanzania unadumishwa.

Akizungumza na wanahabari leo jijini, Makonda amesema kuwa kamati hiyo itakuwa na jukumu la kuhakikisha na kuwatambua mashoga wanaojitangaza na wasiojitangaza katika mitandao ya kijamii wanajulikana ikiwemo facebook, whatsaap na Instagram.

Aidha kamati hiyo itakuwa jukumu la kuwatambua wanaojitangaza na kufanya biashara ya ngono katika mitandao ya kijamii na wale wanaofanya utapeli hasa wa kutumia mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya watu maarufu.

Makonda amesema kuwa kamati hiyo itahusisha bodi ya filamu, Mamlaka ya mawasiliano (TCRA,) polisi na madaktari na kituo cha huduma hiyo itakuwa Mburahati na amesema kuwa kwa yeyote atakayegundulika kujihusisha na vitendo hivyo atatangazwa na kutaja anayeshiriki naye na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Aidha amesema kuwa kabla ya jumatatu wana Dar es salaam walioweka picha za ngono kwenye simu zao wajitahidi kuzifuta kwani TCRA wana uwezo mkubwa.Mwisho ametoa rai kwa kwa wakazi wote wa Dar es salaam kushikamana dhidi ya mapambano hayo ili kulinda maadili yetu.
 MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda  akizungumza na Waandishi wa habari leo jijini Dar,wakati akitangaza kamati ya watu 17 na kuwapa majukumu ua kuhakikisha jiji la Dar es salaam linakuwa na amani, maadili na utamaduni wa mtanzania unadumishwa.
Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Paul Makonda alipokuwa akizungumza nao leo ofisini kwake jijini Dar kuhusu kukomesha Ushoga Dar


Hivyo makala MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR

yaani makala yote MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/makonda-aunda-kamati-kukomesha-ushoga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAKONDA AUNDA KAMATI KUKOMESHA USHOGA DAR"

Post a Comment

Loading...