Loading...

Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma

Loading...
Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma
link : Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma

soma pia


Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma



Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi. Roida Andusamile akisisitiza kuhusu hatua iliyochukuliwa na Serikali katika kuwawezesha wajasiriamali wadogo kupata alama ya ubora wa bidhaa wanazozalisha ili kuchochea ujenzi wa uchumi wa Viwanda ambapo Serikali inalipa gharama hizo kwa wajasiriamali wadogo, hayo ilikuwa wakati wa Tamasha la Mwanamke Mjasiriamali linalofanyika Jijini Dodoma likishirikisha wajasiriamali wa hapa nchini na kutoka nchini Burundi.
Afisa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kati Bw. Sileja Lushibika akieleza hatua zinazopaswa kufuatwa na mjasirimali ili kupata alama ya ubora kwa mmoja wa wananchi waliofika katika Banda la Shirika hilo wakati wa Tamasha la Mwanamke Mjasiriamali linalofanyika Jijini Dodoma likishirikisha wajasiriamali wa hapa nchini na kutoka nchini Burundi.
Afisa Elimu, Habari na Mawasiliano wa Wakala wa Vipimo (WMA) Bw. Paulus Oluochi akizungumzia umuhimu wa kuzingatia vipimo kwa wajasirimali wakati wa kufungasha na kuzalisha bidhaa mbalimbali ili kuchochea dhana ya ujenzi wa uchumi wa Viwanda,hiyo ilikuwa wakati wa Tamasha la Mwanamke Mjasiriamali linalofanyika Jijini Dodoma likishirikisha wajasiriamali wa hapa nchini na kutoka nchini Burundi.  
Sehemu ya mabanda ya wajasiriamali wanaoshiriki Tamasha la Mwanamke Mjasiriamali linalofanyika Jijini Dodoma likishirikisha wajasiriamali wa hapa nchini na kutoka nchini Burundi kama yanavyoonekana katika picha. Picha zote na Frank Mvungi MAELEZO, Dodoma


Hivyo makala Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma

yaani makala yote Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/matukio-katika-picha-tamasha-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio Katika Picha Tamasha la Wajasiriamali wanawake Jijini Dodoma"

Post a Comment

Loading...