Loading...
title : MDHAMINI WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA NA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AKUTANA NA SKAUTI MKUU
link : MDHAMINI WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA NA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AKUTANA NA SKAUTI MKUU
MDHAMINI WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA NA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AKUTANA NA SKAUTI MKUU
Mdhamini wa Chama cha Skauti Tanzania na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Skauti Mkuu Mhe. Mwantumu Mahiza ambaye amemtembelea nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es salaam kumwamkia na kujitambulisha leo Jumamosi Oktoba 13, 2018
Mdhamini wa Chama cha Skauti Tanzania na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akimsikiliza Skauti Mkuu Mhe. Mwantumu Mahiza akimtambulisha wajumbe alioongozana nao nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam kumwamkia na kujitambulisha.
Mdhamini wa Chama cha Skauti Tanzania na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akimsikiliza Skauti Mkuu Mhe. Mwantumu Mahiza akimtambulisha wajumbe alioongozana nao nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam kumwamkia na kujitambulisha.
Mdhamini wa Chama cha Skauti Tanzania na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akipokea zawadi ya kigoda maalumu cha kuwekea Kurani Tukufu kutoka kwa Skauti Mkuu Mhe. Mwantumu Mahiza ambaye amemtembelea nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam kumwamkia na kujitambulisha akiwa ujumbe wake. Wengine kutoka kushoto ni Kamishna Mkuu wa chama hicho Mhe. Abdulkarim Shah, Mjumbe wa Bodi ya Skauti Kennedy Ndosi, Kamishna Mtendaji wa chama hicho Eline Kitaly na Mjumbe wa Bodi ya Skauti Omar Ilyas.
Mdhamini wa Chama cha Skauti Tanzania na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Skauti Mkuu Mhe. Mwantumu Mahiza ambaye amemtembelea nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam kumwamkia na kujitambulisha akiwa ujumbe wake. Wengine ni Kamishna Mkuu wa chama hicho Mhe. Abdulkarim Shah, Mjumbe wa Bodi ya Skauti Kennedy Ndosi, Kamishna Mtendaji wa chama hicho Eline Kitaly na Mjumbe wa Bodi ya Skauti Omar Ilyas.
Hivyo makala MDHAMINI WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA NA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AKUTANA NA SKAUTI MKUU
yaani makala yote MDHAMINI WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA NA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AKUTANA NA SKAUTI MKUU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MDHAMINI WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA NA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AKUTANA NA SKAUTI MKUU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/mdhamini-wa-chama-cha-skauti-tanzania.html
0 Response to "MDHAMINI WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA NA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AKUTANA NA SKAUTI MKUU"
Post a Comment