Loading...

Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui

Loading...
Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui
link : Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui

soma pia


Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Zainab Telack akiliangalia gari alilokabidhiwa kwa ajili ya Jeshi la Polisi wilayani Kishapu.

Na Robert Hokororo, Kishapu

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga limepokea gari jipya kwa ajili ya matumizi ya shughuli zake kutoka mgodi wa almasi wa Mwadui.

Gari hilo aina ya Nissan Hilux lenye thamani ya sh. milioni 80 limepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Zainab Telack ambaye alikabidhi jeshi hilo.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya gari hilo yaliyofanyika wilayani humo Mhe.Telack aliushukuru mgodi kwa msaada huo. Telack ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa alisema kuwa gari litawezesha shughuli za Polisi kufanyikaa kwa ufanisi.

Aliwaomba wasichoke kuendelea kuisaidia Kishapu pamoja na kushirikiana na Serikali ya wilaya hiyo kwani wao pia ni sehemu ya jamii hiyo.

Aidha alilitaka jeshi hilo kulitumia gari hilo walilokabidhiwa kwa matumzi yaliyokusudiwa ya kulinda wananchi ili waendelee kuwa na imani nalo.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Zainab Telack akitoa maelekezo na kumkabidhi funguo na kadi ya gari Mkuu wa Polisi Wilaya (OCD) ya Kishapu, Emmanuel Galiyamoshi. Anayeshuhudia kushoto ni Alchelaus Mutalemwa.
Sehemu ya maafisa wa Jeshi la Polisi wilayani Kishapu wakinyakua baada ya kushuhudia makabidhiano ya gari.


Hivyo makala Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui

yaani makala yote Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/polisi-kishapu-yakabidhiwa-gari-jipya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Polisi Kishapu yakabidhiwa gari jipya kutoka mgodi wa Mwadui"

Post a Comment

Loading...