Loading...

SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS

Loading...
SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS
link : SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS

soma pia


SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe imeahidi msaada wowote kwa Kocha wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike kuhakikisha timu hiyo inafuzu Afcon. 
Mwakyembe amesema kuwa; “Nimefurahishwa sana na matokeo haya , vijana wamenikuna uwezo waliouonyesha ni mzuri, sisi kama serikali tutakuwa tayari kumsapoti mwalimu kwa chochote anachokihitaji ili kuweza kufanikisha kucheza Afcon.”

 “Tumefurahishwa lakini tusiwe na miluzi mingi, masuala ya kiufundi tunamuachia mwalimu aweze kufanikisha malengo.

 “Pia nimefurahishwa na muitikio wa mashabiki uwanjani kushangilia, huu ndio uzalendo unaotakiwa, tutumie njia hii kuwamaliza Uganda wakija hapa nyumbani, nawapongeza sana,” alisema Mwakyembe akiizungumzia Stars ambayo ikishinda mechi ijayo dhidi ya Lesotho inafuzu kama Uganda akimpiga Cape Verde.



Hivyo makala SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS

yaani makala yote SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/serikali-yajitosa-taifa-stars.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI YAJITOSA TAIFA STARS"

Post a Comment

Loading...