Loading...

WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI

Loading...
WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI
link : WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI

soma pia


WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi na mbunge wa jimbo la Mkuranga abdallah Ulega ametoa  sh.milioni mbili m kwa vikundi vya ujasiriamali 11 vya kata ya Kimanzimchana wilayani Mkuranga mkoani Pwani ikiwa ni  lengo la kukuza mitaji yao na kuwainua kiuchumi wajasiriamali hao.

Akizungumza kwa niaba ya mbunge huyo, Katibu wa Mbunge wa jimbo la Mkuranga Kisatu Omary  amevitaja baadhi ya vikundi vilivyopewa fedha hizo kuwa ni Tupendane Group,Mshikmano pamoja na mazingira group.
Aidha  Kisatu amesema ulega ametoa fedha hizo kwa lengo la kuinua mitaji yao, na kuwaomba kuzitumia kwenye malengo yaliyokusudiwa.

"Serikali inawapenda wananchi wake na ipotayari kuwasaidia mkiwa kwenye vikundi hivyo kwahiyo dumisheni vikundi vyenu mpate kukopesheka.

"Serikali inatoa fedha kwa ajili ya wajisiriamali ambayo ni asilimia kumi kupitia  Halmashauri lakini ni lazima muwe kwenye vikundi tena vyenye sifa"amesema Kisatu.

Aidha Kisatu ameomba wajasiriamali hao kutumia hela hiyo kwa kukuza mitaji yao na sio kwenda kwa matumizi yao binafsi ili iweze kuleta tija na taifa kwa ujumla.
 Mwenyekiti wa jukwaa la wanawake Mkuranga, Mariam Ulega akinunu miti kwa wajasiriamali wa kata ya Kimanzi chana Wilaya Mkuranga mkoa wa Pwani, ambapo kila kikundi kilipokea  shilingi laki mbili kwajili ya kukuza mitaji yao.(Picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)
 Katibu wa Mbunge wa jimbo la Mkuranga,Kisatu Omary akikabidhi zaidi ya sh.milioni mbili kwa vikudi vya wajasiriamali 11 vya kata ya Kimanzi chana Wilaya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Picha ya pamoja.


Hivyo makala WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI

yaani makala yote WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/wajasiriamali-wawezeshwa-kiuchumi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAJASIRIAMALI WAWEZESHWA KIUCHUMI"

Post a Comment

Loading...