Loading...

KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA

Loading...
KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA
link : KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA

soma pia


KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti Mheshimiwa George Simbachawene akielezea jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokuwa ikijadili Taarifa za Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020 na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2019/20 – 2021/22 katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango.
Waumbe wa Kamati ya Bajeti wakijadili Taarifa za Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020 na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2019/20 – 2021/22 kataika Kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.


Hivyo makala KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA

yaani makala yote KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/kamati-ya-bajeti-yakutana-na-wizara-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA"

Post a Comment

Loading...