Loading...

MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA

Loading...
MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA
link : MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA

soma pia


MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA

Katika kuendeleza mafanikio makubwa na ya kipekee kwa msimu wa 11  ya maonyesho  ya jukwaa la mitindo (SWAHILI FASHION WEEK) ambalo ni la kipekee Afrika mashariki maandalizi yafunguliwa rasmi jijini Dar es salaam.

Mbunifu  wa mitindo nchini Mustafa hassanali akizungumza na wadau, wabunifu pamoja na wanahabari amefungua rasmi maandalizi ya wiki ya mitando amesema kuwa maandalizi ya mwaka huu ni ya kusisimua na kufurahisha sababu kazi za mitindo ziko hali ya juu .

Hassanali  amesema kwa utiifu wote  lengo la kuendeleza na kuimarisha  nafasi ya mitindo kwa Afrika  linabaki kuwa mbele,kupitia jukwaa hili na mchango mkubwa wa waandishi wa habari tutaendelea kuunga mkono vipaji  vilivyopo katika sekta ya mitindo.

Aidha,amefafanua zaidi licha ya kuunga mkono kuendeleza vipaji bali pia kutengeneza na kukuza soko la kimataifa na ndio sababu kuu ya kuunga mkono kutekeleza juhudi za Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli Katika sera ya kuelekea uchumi wa viwanda kupitia bidhaa za nguo zilizotengenezwa Tanzania.

Alikadhalika balozi wa italia nchini Tanzania ROBERT MENGONI amesema ifike pahala kila mtu aheshimu kazi za Ubunifu wa mitindo kama biashara kutokana na wabunifu kuwekeza na kupata vipato vya kuendesha maisha yao pamoja na familia kupitia Ubunifu huo.      kwa upande wa mwakilishi wa baraza la Sanaa (BASATA) Vivian shalura amepongeza juhudi zinazofanywa na mbunifu huyo mahiri katika mitindo ambae amekua akifata sheria pamoja na vibali huku akiwa amejisajiri kikamilifu.

Shalua amewataka wabunifu chipukizi wajaribu kubuni nguo ambazo hazitawabugudhi au kudharirisha watazamaji,pia amewashauri wabunifu kukuza lugha yetu ya kiswahili kupitia baadhi ya Nguo ambazo majina yake yanatokana na kiswahili chetu kama vile mshono wa mwanamke nyonga.
Mbunifu wa mitindo nchini  Mustafa hassanali akizungumza akifungua maandalizi ya wiki ya mitindo Balozi wa italia nchini Robert mengoni akiwa mwakilishi kutoka baraza la Sanaa (BASATA) Vivian sharula


Hivyo makala MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA

yaani makala yote MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/maonyesho-ya-swahili-fashion-week.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MAONYESHO YA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA NOVEMBER 30 HADI DISEMBA"

Post a Comment

Loading...