Loading...

MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI

Loading...
MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI
link : MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI

soma pia


MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI

Na Yeremias Ngerangera, Namtumbo
Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo  kikuu cha Dodoma ( UDOM)kitivo cha elimu amekwama nauli ya kufika chuoni  baada ya wazazi  wake kutamka bayana kuwa hawana uwezo hata  ya kupata nauli ya kumsafirisha  binti yao kufika chuoni .
Bahati  Njete (21) mkazi wa Minazini wilayani Namtumbo amechaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dodoma  huku  wazazi wake hawana  uwezo  hata wa kumpatia  nauli ya kufika  chuoni  ili  akaendelee  na masoma yake.
Akiongea  na Ofisa ustawi wa jamii wilaya ya Namtumbo Irene Kitula ofisini kwake  Bahati alisema  wazazi wake wanahali ngumu za kimaisha na mafanikio aliyoyapata ni kutokana na misaada ya wasamaria wema  ambao walijitolea kwa hali na mali kumsaidia toka kidato cha kwanza  hadi cha sita.
Aidha  Bahati alidai kumaliza elimu ya sekondari katika sekondari ya kata Narwi  iliyopo wilayani Namtumbo na kisha kuchaguliwa kuendelea na masomo kidato cha sita katika shule ya sekondari ya  Igowole  iliyopo mkoa wa Njombe.
Ofisa  ustawi wa jamii alimfikisha mwanafunzi huyo mpaka ofisi ya mkuu wa wilaya ya Namtumbo ili apatiwe kibali cha kuomba kuchangiwa fedha  kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kufika chuoni  na zimsaidie akiwa chuoni pia.
Kwa  mujibu wa  mwanafunzi mwenyewe Bahati  alidai kusoma katika mazingira magumu kulingana na hali ngumu za wazazi wake lakini anawashukuru  wasamaria wema walioweza kumchangia kwa hali na mali mpaka kufikia hapo alipofikia .
Hata hivyo anaendelea kuwaomba wasamaria wema hao wasichoke  kumsaidia  bali waendelee kumsaidia kupitia namba yake ya simu 0718792037 ili aweze  kutimiza ndoto zake  za maisha baada ya kumaliza chuo.


Hivyo makala MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI

yaani makala yote MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/mwanafunzi-udom-akwama-nauli-aomba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MWANAFUNZI UDOM AKWAMA NAULI, AOMBA MSAADA WA KUMPELEKA CHUONI"

Post a Comment

Loading...