Loading...

TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO.

Loading...
TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO.
link : TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO.

soma pia


TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO.


Kikosi cha timu ya Taifa 'Taifa Stars' kinaondoka alfajiri ya leo kuelekea Afrika Kusini kwa kambi maalum kujiandaa na mchezo wa kufuzu kuelekea AFCON 2019 dhidi ya Lesotho.

Kwa mujibu wa Meneja wa timu, Danny Msangi, amesema Stars itakuwa Afrika Kusini kwa kambi ya siku kabla ya kuelekea Lesotho.

Meneja huyo ameeleza Stars ikiwa nchini humo itaungana na wachezaji wengine wanaocheza soka nje ya Tanznia.

Wachezaji wote ambao wameitwa hapa nchini tayari wapo pamoja hivi sasa tayari kwa safari hiyo ya alfajiri leo.

Stars itakuwa na kibarua hicho Novemba 8 ambapo mchezo huo utakuwa ni wa kundi L.


Hivyo makala TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO.

yaani makala yote TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/taifa-stars-yakwea-pipa-afrika-kusini.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAIFA STARS YAKWEA PIPA AFRIKA KUSINI KUJIWINDA NA LESOTHO."

Post a Comment

Loading...