Loading...

TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA.

Loading...
TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA.
link : TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA.

soma pia


TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA.

Meneja ruzuku Na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald (katikati ) akiwa pamoja na wanafunzi  wa shule ya sekondari  Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam, wakielekezwa  na  mtaalam wa ubunifu wa kazi za mikono Flora Richard jinsi ya kutengeneza bangiri za batiki wakati wa Tamasha la Kuwa Mjanja ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya Afya  iliyoandaliwa na PSI kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation.


Baadhi ya  Wanafunzi wa shule ya sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam, wakijifunza elimu ya ujasiriamali wa kazi za mikono pamoja na Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzywania Foundation, Sandra Oswald ( Kulia) wakati wa tamasha la Kuwa Mjanja  ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya afya, elimu ya ujasiriamali  iliyoandaliwa na PSI  kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation. 
Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald (watatu kushoto) akionyeshwa   ujumbe maalumu kwenye Tablet na Meneja miradi wa PSI Tanzania, Dkt. Anna Temba (wa pili kulia) Kutoka  kushoto ni mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Goba  Magreth Richard, Agnes John, Mhamasishaji  wa Vijana PSI Semeni.

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam.
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation kushirikiana na PSI wamefanikiwa kufanya tamasha linalojulikana kwa jina 'Kuwa Mjanja' kwa ajili ya kuwapa vijana kupata elimu ya afya jambo ambalo linasaidia kufanikisha maendeleo ya taifa.

Tamasha hilo limefanyika hivi karibuni katika shule ya Sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam ambapo limelenga kutoa elimu ya afya kwa vijana.

Imeelezwa kuwa tamasha hilo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya afya ambalo limeandaliwa na PSI  kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation.



Hivyo makala TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA.

yaani makala yote TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/tamasha-la-kuwa-mjanja-la-vodacom-latoa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAMASHA LA KUWA MJANJA LA VODACOM LATOA ELIMU YA AFYA KWA VIJANA."

Post a Comment

Loading...