Loading...

TANZIA

Loading...
TANZIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZIA
link : TANZIA

soma pia


TANZIA

Prof. Cuthbert Kimambo wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Tanzania, anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake Mdogo Profesa Isaria Kimambo kilichotokea nyumbani kwake Makongo juu 2/11/2018. 

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Makongo Juu. Mazishi yanatarajiwa kufanyika kijijini kwa Marehemu Manambeni Mbokomu Moshi 8/11/2018. Habari ziwafikie Askofu wa Kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT.Dr Frederick Shoo.

Wanajumuia wote wa Vyuo Vikuu alipo wahi kufanya Kazi ,Majairani wana Ukoo wote wa Kimambo popote walipo.


Hivyo makala TANZIA

yaani makala yote TANZIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/tanzia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZIA"

Post a Comment

Loading...