Loading...

TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE

Loading...
TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE
link : TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE

soma pia


TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE

Na Agness Francis, Glogu ya jamii

UONGOZI wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF ) umemtangaza kuchaguliwa kwa mwamuzi Jonesia Rukyaa kuchezesha Fainali za Afrika za Wanawake zitakazofanyika nchini Ghana.

Rukya ambaye ni muauzi kutoka mkoani Kagera ambaye amekuwa akiminiwa sana katika umakini wa kazi yake na hasa katika kuchezesha mechi za Ligi kuu Tanzania bara.

Kwa mujibu wa TFF mwamuzi huyo amechaguliwa katika orodha ya Waamuzi wa katikati kuchezesha michezo ya fainali za Afrika za wanawake zitakofanyika nchini Ghana. Ambapo jumla ya Waamuzi 13 waliochaguliwa ni wa kati Kati na wasaidizi ni 12.

Hivyo TFF imesema fainali hizo pia zitatumika kupata timu zitakazowakilisha Afrika kwenye Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake zitakazofanyika mwakani nchini Ufaransa.

Ambapo Washindi watatu wa juu ndio watakaofuzu kushiriki Kombe la Dunia..


Hivyo makala TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE

yaani makala yote TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/tff-yamtangaza-mwamuzi-jonesia-rukyaa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TFF YAMTANGAZA MWAMUZI JONESIA RUKYAA KUCHAGULIWA KUCHEZESHA FAINALI ZA AFCON YA WANAWAKE"

Post a Comment

Loading...