Loading...

TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA.

Loading...
TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA.
link : TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA.

soma pia


TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA.

Kamati ya Uchaguzi ya Shiriko la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza kuanza mchakato wa uchaguzi maalum wa kujaza nafasi ambazo zilizo wazi ndani ya klabu ya Yanga ikiwemo ile ya Mwenyekiti.

Mwenyekiti wa kamati hiyo, Ally Mchungahela amesema zoezi la kuchukua fomu kwa wagombea litaanza Novemba 8 hadi 13 2018.

Aidha ameeleza kuwa uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Januari 13 2019.

TFF wamemua kutangaza rasmi kuanza mchakato huo mara baada ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT) kuwataka wausimamie wakieleza kuwa kamati ya Yanga haijitoshelezi.

BMT waliitaka TFF itimize majukumu hayo katika kikao na wanahabari kilichofanyika siku chache zilizopita


Hivyo makala TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA.

yaani makala yote TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/tff-yatangaza-uchaguzi-klabu-ya-yanga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TFF YATANGAZA UCHAGUZI KLABU YA YANGA."

Post a Comment

Loading...