Loading...
title : BREAKING NEWZZZZ:MAHAKAMA KUU KITENGO CHA UHUJUMU UCHUMI YAMHUKUMU RAIA WA MSUMBIJI KIFUNGO CHA MAISHA
link : BREAKING NEWZZZZ:MAHAKAMA KUU KITENGO CHA UHUJUMU UCHUMI YAMHUKUMU RAIA WA MSUMBIJI KIFUNGO CHA MAISHA
BREAKING NEWZZZZ:MAHAKAMA KUU KITENGO CHA UHUJUMU UCHUMI YAMHUKUMU RAIA WA MSUMBIJI KIFUNGO CHA MAISHA
Ni baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na dawa za kulevya kilogramu 3.03
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imemuhukumu Mwanamke mmoja wa Msumbiji Ana Moisie Chissano kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia katika shtaka la kukutwa na kilogramu 3.03 za dawa za kulevya aina ya cocaine Hydrochloride.
Mshtakiwa amefungwa chini ya kifungu cha sheria cha 15(1)(b) cha sheria namba 5 ya 2015 cha sheria Kuzuia na kusababisha na kupambana na dawa za kulevya.
Hukumu hiyo imesomwa leo Desemba 12, 2018 na Jaji Lilian Mashaka baada upande wa mashtaka kuweza kuthibitisha mashtaka hayo pasipo Kuacha shaka baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi sita wa upande wa mashtaka waliofika mahakamani hapo kutoa ushahidi wao.
Aidha Mahakama imeamuru dawa hizo za kulevya kuteketezwa kwa utaratibu unaostahili.
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imemuhukumu Mwanamke mmoja wa Msumbiji Ana Moisie Chissano kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia katika shtaka la kukutwa na kilogramu 3.03 za dawa za kulevya aina ya cocaine Hydrochloride.
Mshtakiwa amefungwa chini ya kifungu cha sheria cha 15(1)(b) cha sheria namba 5 ya 2015 cha sheria Kuzuia na kusababisha na kupambana na dawa za kulevya.
Hukumu hiyo imesomwa leo Desemba 12, 2018 na Jaji Lilian Mashaka baada upande wa mashtaka kuweza kuthibitisha mashtaka hayo pasipo Kuacha shaka baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi sita wa upande wa mashtaka waliofika mahakamani hapo kutoa ushahidi wao.
Aidha Mahakama imeamuru dawa hizo za kulevya kuteketezwa kwa utaratibu unaostahili.
Mshtakiwa Ana Moisie Chissano raia wa Msumbiji aliyehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia katika shtaka la kukutwa na Kg 3.03 za dawa za kulevya aina ya cocaine Hydrochloride.
Pichani kati ni Mshtakiwa akiwa katika ukumbi wa wazi wa Mahakama Kuu Kitengo cha mafisadi akisubiri kusomewa hukumu yake
Hivyo makala BREAKING NEWZZZZ:MAHAKAMA KUU KITENGO CHA UHUJUMU UCHUMI YAMHUKUMU RAIA WA MSUMBIJI KIFUNGO CHA MAISHA
yaani makala yote BREAKING NEWZZZZ:MAHAKAMA KUU KITENGO CHA UHUJUMU UCHUMI YAMHUKUMU RAIA WA MSUMBIJI KIFUNGO CHA MAISHA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWZZZZ:MAHAKAMA KUU KITENGO CHA UHUJUMU UCHUMI YAMHUKUMU RAIA WA MSUMBIJI KIFUNGO CHA MAISHA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/breaking-newzzzzmahakama-kuu-kitengo.html
0 Response to "BREAKING NEWZZZZ:MAHAKAMA KUU KITENGO CHA UHUJUMU UCHUMI YAMHUKUMU RAIA WA MSUMBIJI KIFUNGO CHA MAISHA"
Post a Comment