Loading...

PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT

Loading...
PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT
link : PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT

soma pia


PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT

SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imeagiza Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) kuhakikisha inanunua pamba iliyobaki Daraja B (fifi) ya wakulima wa Urambo ili kutowakatisha tamaa ya kuendelea na kilimo hicho.

Kauli hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kufuatia malalamiko kutoka kwa wakulima wa zao hilo katika Kijiji cha Itengamatwi wilayani Urambo juu ya uwepo wa pamba ambao hadi hivi sasa iko katika maghala na wakulima hawajalipwa fedha.

Aliwataka wakulima kutokuwa na wasiwasi kwa kuwa jitihada zinaendelea ili kuhakikisha pamba yao fifi(daraja B) ambayo hadi hivi sasa bado iko katika maghali ya kuhifadhi mazao inanunuliwa na Bodi ya Pamba Tanzana baada ya wanunuzi wa awali kusimamisha ununuzi na kuzima mashine.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa aliwataka wakulima kuzingatia kanuni 10 za kilimo cha zao hilo ili kuepuka kuzalisha pamba Daraja B ambalo ndio wakati mwingine linakuwa kigezo cha wanunuzi kuwapa bei mbaya na wakati mwingine kukataa kununua pamba yao.

Alisema azimo la Mkoa wa Tabora katika msimu wa kilimo cha zao ujao ni kila mkulima ni lazima azingatite kanuni kumi za zao hilo ikiwemo kuvuna kwa wakati na kuhifadhi katika hali ya usafi.Mwanri alisema hatua hiyo itasaidia kulinda ubora wa zao hilo na kumsaidia mkulima kupata Daraja A na kulipwa bei ya juu itakayompa fedha nyingi ambazo zitasaidia kuboresha maisha yake.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akitoa somo kuhusu Sheria na kanuni 10 za kilimo cha pamba juzi katika kijiji cha Ugansa wilayani Kaliua jana .
Baadhi ya wakijiji wa Ugansa wilayani Kaliua wakisikiliza somo la Sheria na Kanuni 10 za zao la pamba kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora (hayupo katika picha) jana .picha na Tiganya Vincent
Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Abel Busalama akitoa salamu za Wilaya kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora aggrey Mwanri ili atoe somo kuhusu Sheria na kanuni 10 za kilimo cha pamba juzi katika kijiji cha Miti mitano



Hivyo makala PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT

yaani makala yote PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/pamba-fifi-iliyokuwa-imebaki-wilayani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "PAMBA FIFI ILIYOKUWA IMEBAKI WILAYANI URAMBO YAPATA UFUMBUZI NA TIGANYA VINCENT"

Post a Comment

Loading...