Loading...
title : Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalam wengi -Nditiye
link : Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalam wengi -Nditiye
Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalam wengi -Nditiye
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
NAIBU Waziri, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano-Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amesema Serikali imejenga miundombinu ya usafirishaji yakutosha ambapo Chuo cha Usafirishaji (NIT) ndio watumiaji wa miundombinu hiyo.
Serikali haitegemei kutafuta watalaam kutoka nje kwa ajili kutumia miundombinu yetu katika ndege Boti pamoja na Reli.
Nditiye amekitaka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuhakikisha kinatoa mafunzo bora yatakayosaidia kupatikana kwa wataalamu wa kisasa wataofanya kazi hapa nchini katika sekta mbalimbali za usafirishaji.
Waziri Nditiye ameyasema hayo jijini Dar es Salaam jana katika mahafali ya 34 ya chuo cha NIT yaliyofanyika katika viwanja Chuo hicho jijini Dar es Salaam.Amesema chuo hicho kikianza kutoa kozi ya marubani na wataalamu wa reli itaongeza wigo la watalaamu nchini.
"Rai yangu kwa NIT kuhakikisha kuwa kozi hizo zinaanza mapema hapo mwakani ili kuokoa fedha zilizokuwa zinatumika kusomesha marubani na wataalamu wa reli za kisasa nje ya nchi ambapo Serikali imekuwa gharamia kwa fedha nyingi"amesema Nditiye. Aidha Nditiye amewataka wahitimu kuhakikisha wanatumia maarifa na ujuzi waliyoupata wakiwa chuoni kuleta maendeleo ya kwao binafsi na taifa kwa ujumla kwa kujiajiri au kuajiriwa.
NAIBU Waziri, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano-Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amesema Serikali imejenga miundombinu ya usafirishaji yakutosha ambapo Chuo cha Usafirishaji (NIT) ndio watumiaji wa miundombinu hiyo.
Serikali haitegemei kutafuta watalaam kutoka nje kwa ajili kutumia miundombinu yetu katika ndege Boti pamoja na Reli.
Nditiye amekitaka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuhakikisha kinatoa mafunzo bora yatakayosaidia kupatikana kwa wataalamu wa kisasa wataofanya kazi hapa nchini katika sekta mbalimbali za usafirishaji.
Waziri Nditiye ameyasema hayo jijini Dar es Salaam jana katika mahafali ya 34 ya chuo cha NIT yaliyofanyika katika viwanja Chuo hicho jijini Dar es Salaam.Amesema chuo hicho kikianza kutoa kozi ya marubani na wataalamu wa reli itaongeza wigo la watalaamu nchini.
"Rai yangu kwa NIT kuhakikisha kuwa kozi hizo zinaanza mapema hapo mwakani ili kuokoa fedha zilizokuwa zinatumika kusomesha marubani na wataalamu wa reli za kisasa nje ya nchi ambapo Serikali imekuwa gharamia kwa fedha nyingi"amesema Nditiye. Aidha Nditiye amewataka wahitimu kuhakikisha wanatumia maarifa na ujuzi waliyoupata wakiwa chuoni kuleta maendeleo ya kwao binafsi na taifa kwa ujumla kwa kujiajiri au kuajiriwa.
Wahitimu wakiwa wametunukiwa shahada na Mgeni Rasmi katika mahafali ya 34 ya Chuo cha NIT yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo jijini Dar es Salaam.
Wahitimu wa Chuo cha Usafirishaji cha (NIT) wakiwa katika maandamano katika mahafali ya 34 ya Chuo hicho yaliyofanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano-Uchukuzi Mhandisi Atashasta Nditiye akizungumza katika mahafali ya 34 ya Chuo cha Usafirishaji yaliyofanyika viwanja ni hapo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wahitimu wa Chuo cha NIT katika mahafali ya 34 yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo jijini Dar es Salaam.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>
Hivyo makala Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalam wengi -Nditiye
yaani makala yote Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalam wengi -Nditiye Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalam wengi -Nditiye mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/sekta-ya-usafirishaji-inahitaji.html
0 Response to "Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalam wengi -Nditiye"
Post a Comment