Loading...

TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI

Loading...
TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI
link : TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI

soma pia


TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Fainali za mabingwa Afrika kwa vijana chini ya Miaka 17 (AFCON) yanayotarajiwa kufanyika Nchini Tanzania April 2019 yamefikia katika upangaji wa makundi.

Droo hiyo iliyochezeshwa jioni ya leo ikishuhuduwa na viongozi mbalimbali wa Kiserikali wakiongozwa na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe na viongozi kutoka Shirikisho la Mpira Wa Miguu Afrika (CAF) pamoja na nchi washiriki waliofanikiwa kuingia katika fainali hiyo.

Fainali hizo zinahusisha timu nane zilizofanikiwa kufuzu na zitachuana kuweza kupata wawakilishi wawili kutoka katika kila kundi kwa ajili ya kushiriki fainali za Kombe la Dunia la Vijana nchini Peru.Kwenye kupanga makundi hayo mwenyeji Tanzania ameangukia katika kundi la A akiwa na timu za Nigeria, Angola na Uganda.

Katika kundi B, kuna timu za Cameroon , Guinea, Morroco na Senegal.
Waangalizi kutoka CAF wameshakagua viwanja, mahospitali na hoteli kwa ajili ya timu zinazokuja nchini mwakani pamoja na waalikwa kutoka nchi mbalimbali.



Hivyo makala TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI

yaani makala yote TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/tanzania-yaangukia-kundi-fainali-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZANIA YAANGUKIA KUNDI A FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI"

Post a Comment

Loading...