Loading...

LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA.

Loading...
LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA.
link : LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA.

soma pia


LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametengua uteuzi wa makamanda wa polisi wa mikoa mitatu; Salum Hamduni (Ilala), Emmanuel Lukula (Temeke) na Ramadhani Ng'azi (Arusha).


Ametangaza uamuzi wake huo leo Jumatano Januari 16, 2019, katika mkutano na waandishi wa habari akibainisha kuwa amefanya hivyo baada ya kushauriana na vyombo anavyoviongoza.

Amesema sababu za kutengua uteuzi wa kamanda wa Ilala na Temeke ni kushindwa kusimamia mianya ya rushwa na utoaji wa dhamana kwa watuhumiwa.

Pia, amemuagiza katibu mkuu wa wizara yake kuunda kamati ambayo itapewa miezi mitatu kuchunguza vitendo vya rushwa akitaka mkazo uwekwe zaidi kwa askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani.

Waziri huyo amemtaka Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Fortunatus Muslimukujitafakari na kujipima kama anatosha katika nafasi hiyo


Hivyo makala LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA.

yaani makala yote LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/lugola-atengua-uteuzi-wa-makamanda.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "LUGOLA ATENGUA UTEUZI WA MAKAMANDA."

Post a Comment

Loading...