Loading...

MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA

Loading...
MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA
link : MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA

soma pia


MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi cheti cha kuzaliwa mtoto, Faisal Rashidi Haroun kabla ya kufungua Mkutano wa Mwaka wa Maafisa Ustawi wa Jamii wa Mikoa na Halmashauri zote Tanzania Bara, Kwenye ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete  jijini Dodoma, Januari 29, 2019. Kushoto ni Mama Mzazi wa mtoto huyo, Habiba Mohammed.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza, Fundi Mkuu wa Karakana ya Vifaa Visaidizi vya Wenye Ulemavu iliyopo eneo la Sabasaba jijini Dodoma, Bw. Mwita Marwa Maki baada ya kuvutiwa na baiskeli za magurudumu matatu zilifungwa mota ambazo zimebuniwa na zinatengenezwa na karakana hiyo.  Tukio hilo lilifanyika kwenye viwanja vya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, kabla ya Waziri Mkuu kufungua Mkutano wa Mwaka wa Maafisa Ustawi wa Jamii wa Mikoa na Halmashauri zote Tanzania Bara, Januari 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Hivyo makala MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA

yaani makala yote MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/majaliwa-afungua-mkutano-wa-maafisa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA USTAWI WA JAMII JIJINI DODOMA"

Post a Comment

Loading...