Loading...

NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE

Loading...
NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE
link : NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE

soma pia


NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE


Na Amisa Mussa

Naibu Waziri Wa Mifugo Na Uvuvi Adballah Ulega amesema kuna haja ya kufanya mazungumzo ya kina na Wizaraya Ujenzi na Mawasiliano kuhusu Kuishauri Wizara hiyo kuona umuhimu wa kufufua Miundombinu ya kupakia na kushusha Ng'ombe Wanaosafirishwa Kupitia Usafiri Wa Treni Ya Mizigo Hatua Ambayo Itasaidia Kupunguza Adha Kubwa Ya Usafishaji Mifugo Wanayokumbananayo Wafanyabiashara Ya Ng’ombe.

Naibu Waziri Ulega ameyasema hayo wakati alipotembelea kituo  cha usafishaji cha Reli ya Kati Mjini Tabora na Kukagua Miundombinu ya Kupakia Na Kushusha Ng'ombe Wanaosafirishwa Kwa Usafiri Wa Treni.

Aidha Miundombinu Katika Kituo Cha Usafirishaji Cha Reli Ya Kati Mjini Tabora Inaonekana Kusahaulika Ambapo Naibu Waziri Huyo Amesewasihi Wafanyabiashara Ya Ng’ombe Wilayani Humo Kuendelea Kufanya Biashara Katika Mnada Wa Ipuli.

Awali Mkuu Wa Wilaya Ya Tabora Mjini KOMANYA ELIC KITWALA Na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora LEOPAD ULAYA Wamesema Miundombinu Inayotumiwa Na Wafanyabiashara Na Wafugaji Wa Ngombe Ni Finyu Hatua Ambayo Inasababisha Wafanyabiashara Hao Kupata Usumbufu Wawapo Kituoni Hapo

Aidh Naibu Waziri Ulega amewasihi Wafanyabiashara wanaotumia Mnada wa Ipuli Mjini Tabora kufuata  na kuzingatia Sheri, Kanuni na Taratibu ili kuepuka Migongano isiyokua ya lazima.



Hivyo makala NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE

yaani makala yote NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/01/naibu-waziri-ulega-azungumzia-umuhimu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NAIBU WAZIRI ULEGA AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUFUFUA MIUNDOMBINU YA KUPAKIA NA KUSHUSHA NG'OMBE"

Post a Comment

Loading...