Loading...
title : MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
link : MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wasanii wa fani mbali mbali waliohudhuria Kongamano Kuhusu Tatizo la Dawa za Kulevya kwa Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo februari 13, 2019 lililofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza viongozi wa meza kuu na wasanii kusimama kwa dakika moja kama ishara ya kumkumbuka msanii wa hiphop Tanzania Golden Jacob Mbunda aliyefariki asubuhi ya leo kabla ya kuanza kuhutubia Kongamano Kuhusu Tatizo la Dawa za Kulevya kwa Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo februari 13, 2019 lililofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia kwa umakini Sanaa ya maigizo iliyokuwa ikionyeshwa na wasanii kutoka Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA) waliokuwa wakionyesha madhara ya dawa ya kulevya wakati wa Kongamano Kuhusu Tatizo la Dawa za Kulevya kwa Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo februari 13, 2019 .Kongamano hilo limefanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Heshima kwa Godzilla; Wasanii wa Filamu na Muziki wakiwa wamesimama kwa dakika moja kama ishara ya kumkumbuka msanii wa hiphop Tanzania Golden Jacob Mbunda aliyefariki asubuhi ya leo kabla ya kuanza kuhutubia Kongamano Kuhusu Tatizo la Dawa za Kulevya kwa Wasanii lililoandaliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo februari 13, 2019 lililofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Hivyo makala MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
yaani makala yote MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/02/makamu-wa-rais-azungumza-na-wasanii.html
0 Response to "MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA"
Post a Comment