Loading...

TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI.

Loading...
TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI.
link : TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI.

soma pia


TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeendesha warsha kwa waandishi wa habari kwa lengo la kuwajengea uwezo katika kufanya kazi zao kwa ufanisi.

Warsha hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam ambapo waandishi kamepata fursa kujua mengi yanayoendelea katika TMA.

Waandishi wa habari wakiwa katika warsha iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Meneja wa kituo Kikuu cha utabiri TMA Bw. Samwel Mbuya na  Dk. Ladslaus Chang’a kulia wakifuatilia uwasilishaji wa mada kutoka kwa Bw. Elias Mpiki kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa wakati akifanya uwasilishaji wa mada kwa waandishi wa habari.
Waandishi wa habari pamoja na wafanyakazi wa TMA wakiwa katika picha ya pamoja.


Hivyo makala TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI.

yaani makala yote TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/02/tma-yaendesha-warsha-kwa-waandishi-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TMA YAENDESHA WARSHA KWA WAANDISHI WA HABARI."

Post a Comment

Loading...