Loading...
title : UJENZI WA DARAJA LA MBEZI LINALO WAUNGANISHA WAKAZI WA SALA SALA NA KINZUDI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI.
link : UJENZI WA DARAJA LA MBEZI LINALO WAUNGANISHA WAKAZI WA SALA SALA NA KINZUDI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI.
UJENZI WA DARAJA LA MBEZI LINALO WAUNGANISHA WAKAZI WA SALA SALA NA KINZUDI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI.
Mafundi wa kampuni ya Kika Constractions co. LTD ya jijini Dar es Salaam, wakiendelea na ujenzi wa daraja la mto Mbezi litakalo waunganisha wakazi wa Salasala Wilaya ya Kinondoni na wakazi wa Kinzudi wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Likiwa katika hatua kuelekea kukamilika wakazi wa maeneo hayo wamekuwa wakipata shida ya usafiri wakati wa kipindi cha masika kiasi cha kuwafanya wanafunzi kukosa kwenda shule. (Picha na Albart Jackson)
Ujenzi wa daraja hilo ukiendelea
Hivyo makala UJENZI WA DARAJA LA MBEZI LINALO WAUNGANISHA WAKAZI WA SALA SALA NA KINZUDI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI.
yaani makala yote UJENZI WA DARAJA LA MBEZI LINALO WAUNGANISHA WAKAZI WA SALA SALA NA KINZUDI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala UJENZI WA DARAJA LA MBEZI LINALO WAUNGANISHA WAKAZI WA SALA SALA NA KINZUDI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/02/ujenzi-wa-daraja-la-mbezi-linalo.html
0 Response to "UJENZI WA DARAJA LA MBEZI LINALO WAUNGANISHA WAKAZI WA SALA SALA NA KINZUDI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI."
Post a Comment