Loading...
title : Uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Michezani Wilaya Mkoani Kisiwani Pemba.
link : Uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Michezani Wilaya Mkoani Kisiwani Pemba.
Uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Michezani Wilaya Mkoani Kisiwani Pemba.
Jengo la Skuli Mpya ya Sekondari ya Michezani Kisiwani Pemba Wilaya ya Mkoani, iliofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi mbalimbali katika Mikoa ya Kusini na Kaskazini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua kipazia kuashiria kuweka jiwe la Msingi la Skuli ya Sekondari Michezani Wilaya ya Mkoani Pemba kulia Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri.
Hivyo makala Uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Michezani Wilaya Mkoani Kisiwani Pemba.
yaani makala yote Uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Michezani Wilaya Mkoani Kisiwani Pemba. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Michezani Wilaya Mkoani Kisiwani Pemba. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/02/uzinduzi-wa-skuli-ya-sekondari-ya.html
0 Response to "Uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Michezani Wilaya Mkoani Kisiwani Pemba."
Post a Comment