Loading...

VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE

Loading...
VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE
link : VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE

soma pia


VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE

 Mkuu wa Wilaya ya Momba, Bw. Juma Ilando akizungumza baada ya uzinduzi wa duka la Vodacom Tanzania mjini Tunduma ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kuwafikia wateja wake. Kulia kwake ni Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya nyanda za juu Kusini, Bw. MacFadyne Minja (mwenye shati nyeusi) pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tunduma.
 Wanamuziki  wakiburudisha katika uzinduzi wa duka la Vodacom Tanzania mjini Tunduma, ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kuwasogezea wateja wake huduma.
Mkuu wa Wilaya ya Momba, Bw. Juma Ilando akikata keki baada ya kuzindua duka la Vodacom Tanzania wilayani hapo ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kuwafikia wateja wake. Kulia kwake ni Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya nyanda za juu Kusini, Bw. MacFadyne Minja (mwenye shati nyeusi) pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tunduma. 




Hivyo makala VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE

yaani makala yote VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/02/vodacom-yazindua-kituo-cha-kutolea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "VODACOM YAZINDUA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA KWA WATEJA WAKE"

Post a Comment

Loading...