Loading...

Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe

Loading...
Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe
link : Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe

soma pia


Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe

DEREVA, Geofrey Elifuraha mkazi wa jijini Dar es Salaam,  amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni akikabiliwa na  tuhuma za kuendesha gari kizembe. 

Katika kesi hiyo namba 257/2019 mshtakiwa huyo amesomewa Shtaka lake hilo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Hanifa Mwingira. 

Imedaiwa Kuwa, February 5 mwaka huko Kinondoni Hananasifu Mtaa wa Mkulima,  uliopo Katika Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam mshtakiwa Elifuraha alitenda kosa hilo. 

Imedaiwa, siku ya tukio,  mshtakiwa akiwa dereva anayeendesha gari namba T. 859CYT aina ya Toyota Noah, aliendesha gari hilo kwa uzembe na kushindwa kulimudu, hatimae akatoka nje ya barabara kisha kugonga mti na kusababisha uharibifu wa gari hilo.

Hata hivyo mshtakiwa huyo amekiri kutenda kosa hilo na amehukumiwa kulipa faini ya Sh. 30,000 ama kutumikia kifungo cha  miezi sita gerezani.

Aidha Mahakama imechukua leseni ya dereva huyo kwa kipindi cha mwezi mmoja. Hata hivyo dereva Elifuraha alifanikiwa kulipa faini hiyo na kufanikiwa kukwepa kifungo hicho.


Hivyo makala Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe

yaani makala yote Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/dereva-apandishwa-kizimbani-kwa-tuhuma.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Dereva apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuendesha gari kizembe"

Post a Comment

Loading...