Loading...

Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China

Loading...
Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China
link : Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China

soma pia


Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China

Makampuni ya Tanzania yanayohitaji kuuza bidhaa katika soko la China yamekaribishwa kutumia mtandao ( E-commerce platform)- mall.ca-b2b.com/index ulioanzishwa mahususi kwa ajili ya kuyakutanisha makampuni yanayonunua na kuuza bidhaa mbalimbali  katika masoko ya China na Afrika

Fursa hiyo imeelelezwa na Mwenyekiti wa Kampuni ya China-Africa E-Commerce ndugu Zhigang Hou alipokutana na Balozi wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki leo jijini Chengdu katika jimbo la Sichuan

Mtandao huo ulioanzishwa mwaka jana una makampuni 5000 yaliyosajiliwa kwa madhumuni ya kutafuta bidhaa mbalimbali zinazopatikana barani Afrika. Inatarajiwa kwamba ifikapo mwaka 2021 mtandao huo utaratibu biashara yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 200.

Balozi Kairuki ameyataka makampuni ya Tanzania yenye bidhaa zenye viwango na ubora  unaotakiwa na soko la kimataifa wajisajili katika mtandao huo ili waweze kukutana na makampuni yanayohitaji kununua bidhaa zao. Aidha, wafanyabiashara wanaotaka kununua bidhaa kutoka China pamoja na nchi nyingine za Afrika nao wanaweza kujisajili katika mtandoa huo ili waweze kukutana  na wauzaji mbalimbali.

Makampuni yenye nia ya kupata taarifa za kujiunga na mtandao huo yanaweza kuwasiliana na mratibu:  zhounana@ca-b2b.com












Hivyo makala Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China

yaani makala yote Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/fursa-kwa-makampuni-ya-tanzania-kupata.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Fursa kwa Makampuni ya Tanzania kupata soko China"

Post a Comment

Loading...