Loading...

KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA

Loading...
KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA
link : KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA

soma pia


KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka akiwaongoza Wajumbe wa Kamati hiyo kukagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora katika Mji wa Serikali uliyopo Ihumwa Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora katika Mji wa Serikali uliyopo Ihumwa Jijini Dodoma hii leo. Kushoto ni Mbunge wa Nyamagana Mhe. Stanslaus Mabula na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Mhe. Felister Bura. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesbu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka wakisikiliza maelezo ya mbunifu wa majengo kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Ndg Hamis Kileo walipokuwa wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora katika Mji wa Serikali uliyopo Ihumwa Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)


Hivyo makala KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA

yaani makala yote KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/kamati-ya-bunge-ya-hesabu-za-serikali.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAKAGUA MAENDELEO YA UJENZI MJI WA SERIKALI DODOMA"

Post a Comment

Loading...