Loading...
title : Kampuni ya The Eleanor Foundation' Kujenga Vyoo Skuli Mbalimbali Zanzibar.
link : Kampuni ya The Eleanor Foundation' Kujenga Vyoo Skuli Mbalimbali Zanzibar.
Kampuni ya The Eleanor Foundation' Kujenga Vyoo Skuli Mbalimbali Zanzibar.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohamed Said (kushoto) akimskiliza Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya 'The Eleanor Foundation' Bwana Ray Naluyaga ofisini kwake Mazizini alipofika kumtambulisha Mradi wa Ujenzi wa vyoo kwa Skuli mbali mbali zenye upungufu wa huduma hiyo, ambapo amesema mradi huo umeshaanza katika maeneo ya Chato na Biaramuro kwa Tanzania Bara na utaendelea Zanzibar kwa kuanza na Skuli tano kwa vyoo 20 kwa kila Skuli ambavyo vitakua na huduma kamili.Hivyo makala Kampuni ya The Eleanor Foundation' Kujenga Vyoo Skuli Mbalimbali Zanzibar.
yaani makala yote Kampuni ya The Eleanor Foundation' Kujenga Vyoo Skuli Mbalimbali Zanzibar. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Kampuni ya The Eleanor Foundation' Kujenga Vyoo Skuli Mbalimbali Zanzibar. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/kampuni-ya-eleanor-foundation-kujenga.html
0 Response to "Kampuni ya The Eleanor Foundation' Kujenga Vyoo Skuli Mbalimbali Zanzibar."
Post a Comment