Loading...

Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone

Loading...
Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone
link : Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone

soma pia


Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone

 Meneja Masoko na Uenezi Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Yusfar Abrahman Khatib akisoma risalaba katika Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani  Dkt,Devid Livingstone,yaliofanyika Gulioni Mjini Zanzibar
 Afisa Elimu Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Mwalimu Ramadhan Ali Machano akisoma maelezo kuhusiana na Maisha ya Dkt,David Livingstone Mvumbuzi maarufu Duniani katika Maadhimisho ya Siku ya Dkt,David Livingstone,yaliofanyika Gulioni Mjini Zanzibar.
 Mkurugenzi wa Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Salim Kitwana Sururu akizungumza katika Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani  Dkt,David Livingstone,yaliofanyika Gulioni Mjini Zanzibar.
 Katibu Mtendaji Kamisheni ya Utalii Dk,Abdalla Mohamed Juma akizungumza katika Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani  Dkt, David Livingstone,yaliofanyika Gulioni Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya wageni waliohudhuria katika Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani  Dkt David Livingstone,yaliofanyika Gulioni Mjini Zanzibar.
 Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Mahmoud Thabit Kombo akitoa hotuba ya Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani  Dkt David Livingstone,yaliofanyika Gulioni Mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Sabahi Saleh akitoa neno la Shukrani  katika Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani  Dkt, David Livingstone,yaliofanyika Gulioni Mjini Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Hivyo makala Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone

yaani makala yote Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/maadhimisho-ya-siku-maalum-ya-mvumbuzi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Maadhimisho ya Siku Maalum ya Mvumbuzi maarufu Duniani Dkt,David Livingstone"

Post a Comment

Loading...