Loading...

MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO

Loading...
MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO
link : MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO

soma pia


MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO



Na Ripota Wetu,Globu ya jamii

MOTO umewaka CUF!Ndio maneno unayoweza kuelezea mgogoro unaondelea ndani ya Chama cha Wananchi(CUF) ambapo imefikia hatua ya kufuta rangi ya chama hicho katika vijiwe vya matawi na kupaka rangi ya ACT-Wazalendo.

Kufutwa kwa rangi ya CUF kwenye mashina hayo kuna baada ya Mahakama kutoa uamuzi unamtambua Profesa Ibrahim Lupumba kama Mwenyekiti halali wa Chama hicho.

Baadhi ya mashina ya CUF ambayo yameonekana yakifutwa ni yale yaliyokuwa visiwani Pemba katika tawi la Jows Corner Stone Town ambapo baadhi ya wanachama wameamua kufuta rangi ya CUF na kukapa rangi ya bendera ya ACT-Wazalendo.

Hata hivyo inaelezwa kuna tetesi zinazodai huenda Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akahamia Chama cha ACT-Wazalendo ambacho kiongozi wake ni Mbunge Kigoma Mjini Zitto Kabwe.

Michuzi Blog itaendelea kukupa taarifa zaidi ya kinachoendelea ndani ya CUF kwa sasa...


Hivyo makala MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO

yaani makala yote MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/mashina-yenye-bendera-ya-cuf-zanzibar.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MASHINA YENYE BENDERA YA CUF ZANZIBAR YAANZA KUBADILISHWA RANGI NA KUPAKWA YA ACT-WAZALENDO"

Post a Comment

Loading...