Loading...

TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

Loading...
TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU
link : TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

soma pia


TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

Na Woinde Shizza,Arusha
Naibu waziri wa viwanda,baishara na uwekezaji mhandisi Stela Manyanya ameitaka taasisi ya  uhandisi na usanifu wa mitambo Tanzania(temdo )kuendelea kuwa  wabunifu  zaidi  katika uzalishaji wao  wa teknolojia ili  wawweze kusanifu mitambo inayokidhi malengo ya serikali  ya kuanzisha taasisi hiyo.
Injinia manyanya aliyasema hayo wakati kamati  ya  bunge  ya viwanda,biashara na mazingira ilipotembelea taasisi ya TEMDO kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi.
Amesema kwa kuwa serikali inatambua mchango mkubwa wa Temdo katika kusanifu mitambo ni vema tasisi hiyo ikaongeza ubunifu zaidi katika uzalishaji ili kukidhi mahitaji ya serikali ya kuzalisha bidhaa zinazoenda na wakati
Ameongeza kuwa serikali itaangalia namna ya kuendelea kuziwezesha taasisi hizo za utengenezaji wa zana za kilomo na mashine   kwa kuzitolea fedha za bajeti ili ziendelee kuzalisha zana na mitambo yenye kukidhi mahitaji ya wananchi na viwanda.
Kwa upande wake Mwenyekiti Wa kamati yakudunu ya bunge viwanda ,biashara na Mazingira aliwataka pia taasisi hiyo kujiendesha kibiashara  zaidi ,wazalishe fedha za ndani.
"Nendi kibiashara zaidi mtazalisha fedha zenu wenyewe ambazo zitawasaidia kuendelea kujiendesha hata kama fedha za bajeti za serikalini zikichelewa kuwafikia nyie mnaendelea kujiendesha wenyewe sio kukaa na kusubiri tu fedha za bajeti zije" alisema Mwenyekiti.
Kaimu meneja wa ushauri viwandani   kutoka taasisi ya TEMDO Alexander Komba   amesema ujio wa kamati ya bunge katika tassisi hiyo kunaiwezesha serikali kuweza kuongeza nguvu zaidi iliwaweze kuwa wabunifu  katika  teknolojia zenye kukidhi mahitaji ya soko kufuatia vitendea kazi wanavyonunua kupitia fedha wanazopewa za bajeti.
Kamati ya Kudumu  Bunge  ya viwanda ,biashara na mazingira ikikagua mashine zilizopo katika taasisi ya uhandisi na usanifu mitambo Tanzania (TEMDO) iliopo jijini Arusha (Picha na Woinde Shizza).




Hivyo makala TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

yaani makala yote TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/taasisi-za-usanifu-na-uhandisi-watakiwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAASISI ZA USANIFU NA UHANDISI WATAKIWA KUWA WABUNIFU"

Post a Comment

Loading...