Loading...
title : WAZIRI MKUU MGENI RASMI MECHI YA STARS NA THE CRANES
link : WAZIRI MKUU MGENI RASMI MECHI YA STARS NA THE CRANES
WAZIRI MKUU MGENI RASMI MECHI YA STARS NA THE CRANES
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kusaidia Taifa Stars akitoa wito kwa wadau na wakazi wa Dar es Salaam wajitokeze kwa wingi kushangilia Taifa Stars wakiungana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhakikisha tunapata ushindi
Msanii wa Filamu na Aliyekuwa Miss Tanzania, Wema Sepetu akitoa wito kwa Mashabiki na Team Wema Wote kufika kwa Wingi kuipa sapoti Taifa Stars .
Mtaalamu wa Masuala ya Mitandao ya Kijamii,William Malecela Lemutuz akiwataka watu wote wanaotumia Mitandao ya kijamii kutumia simu zao kwa muda wa siku hizi tatu kutoa hamasa kwa ajili ya kuisapoti timu ya Taifa ya Tanzania.
Mwenyekiti wa Bongo Movie Tanzania , Steve Nyerere akitoa wito kwa wapenzi wa Filamu kujitokeza kwa wingi
Mchambuzi wa mpira wa Miguu, Eddo Kumwembe akizungumza na namna tunavyoweza kushinda.
Muandishi na mchora Vibonzo Maharufu Nchini, Nathan Mpangala akieleza namna wachora Vibonzo walivyojipanga kuisadia Taifa Stars
Sehemu ya Waandishi wa Habari na Watu Maharufu walioshiriki mkutano wa kuhamasisha Taifa Stars Ishinde
Hivyo makala WAZIRI MKUU MGENI RASMI MECHI YA STARS NA THE CRANES
yaani makala yote WAZIRI MKUU MGENI RASMI MECHI YA STARS NA THE CRANES Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU MGENI RASMI MECHI YA STARS NA THE CRANES mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/03/waziri-mkuu-mgeni-rasmi-mechi-ya-stars.html
0 Response to "WAZIRI MKUU MGENI RASMI MECHI YA STARS NA THE CRANES"
Post a Comment