Loading...
Loading...
- Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
link :

soma pia










Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema suala la nidhamu michezoni ni jambo la msingi linalomjengea sifa na mafanikio mazuri mchezaji katika maisha yake Kimichezo.
Amesema mchezaji anapofikia hatua ya kutegemewa na Viongozi pamoja na walimu wake kutokana na kipaji alichojaaliwa analazimika kulinda heshima hiyo ili imfikishe daraja analokusudia kufikia hasa suala la ajira.
Balozi Seif Ali Iddi alisema hayo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar wakati akiukabidhi Msaada wa seti mbili za Jezi pamoja naahadi ya Mipira Minne kwa  Timu ya Soka ya Muembe Ladu katika azma ya kuunga mkono jitihada za kuendeleza Sekta ya Michezo Nchini.
Alisema nidhamu ndio silaha pekee inayomfikisha kwenye mafanikio Mchezaji au mtu yoyote katika malengo yake akatolea mfano baadhi ya Wachezaji wa Tanzania ambao kwa sasa wanacheza mpira wa kilipwa katika Timu za Mataifa mbali mbali Duniani.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliupongeza Uongozi wa Timu ya Soka ya Muembe Ladu kwa jitihada unazochukuwa wa kuwaendeleza Vijana wao Kimichezo na kuweka Historia ya Timu hiyo katika medani ya Soka.
Akipokea Msaada huo Mwenyekiti wa Klabu ya Soka ya Muembe Ladu Omar Zubeir alimshukuru Balozi Seif kwa uamuzi wake wa kuisaidia Klabu hiyo msaada utakaoleta faraja kwao na hata wachezaji wenyewe.
Omar Zubeir alisema Timu ya Soka ya Muembe Ladu na  Ujamaa zina Historia ndefu ya kuwa Timu Moja kipindi cha nyuma isiyosahaulika kwa wapenda soka Nchini kitendo ambacho Kizazi cha sasa kinapaswa kuifuatilia Historia hiyo.


Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/04/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar_23.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment

Loading...