Loading...

Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora

Loading...
Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora
link : Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora

soma pia


Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora


Na Editha Edward wa Michuzi Blog, Tabora

Maiti ya mtoto mchanga anaekadiriwa kuwa na umri wa siku mbili amekutwa kwenye choo cha wasichana katika shule ya sekondari Kazima iliyopo manispaa ya Tabora na kusababisha taharuki kwa walimu na wanafunzi shuleni hapo 

Akizungumza na Michuzi Blog katika eneo la tukio mara baada ya kuvunja choo hicho mkaguzi msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani hapa Bi.Vailleth Machechu amekemea kitendo hicho cha kikatili kilichofanywa mkoani humo.

Aidha mkuu wa shule hiyo ya sekondari ya kazima Bw. Mrisho Kuvuluga amesema kuwa kitendo hicho kinaweza kuwa kimefanywa na wananchi kutoka nje ya shule kutokana na kichanga hicho kuonekana na umri wa siku mbili na shuleni hapo utaratibu wa kupima ujauzito wanafunzi wa kike unafanywa kila  msimu wa masomo.

 Wauguzi wakiandaa mwili wa kichanga hicho baada ya kuuopoa chooni

Choo cha wasichana katika shule ya sekondari Kazima manispaa ya Tabora kilipokutwa kichanga hicho. Picha na Edith Edward


Hivyo makala Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora

yaani makala yote Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/04/mtoto-mchanga-wa-siku-mbili-atupwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mtoto mchanga wa siku mbili atupwa katika Choo cha shule ya sekondari ya kazima manispaa ya tabora"

Post a Comment

Loading...