Loading...

ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA

Loading...
ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA
link : ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA

soma pia


ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA

Na Shushu Joel,Mkuranga.

NAIBU waziri wa mifugo na  uvuvi na mbunge wa jimbo la Mkuranga mkoani Pwani AbdAllah Ulega amewatembelea wahanga  waliokumbwa na majanga ya kubomoka kwa nyumba zao na kupelekea kupata hifadhi kwa wasamalia wema.

Akizungumza na wananchi hao  Ulega aliwapa pole na kuwaomba kuendelea kuwa na subra wakati serikali  ya awamu ya tano ikifanya tathimini ili kubaini kaya zote zilizokumbwa na majanga hayo.

Aliongeza  kuwa majanga kama haya si  ya kisiasa bali yanapangwa na Mungu hivyo katika kipindi hiki  kigumu kwa wananchi wa vikindu ambao ndio waathirika wakubwa wanapaswa kuendelea kuwa watulivu.

Aidha alisema kuwa taarifa za awali alizozipata kuhusu kaya zilizokumbwa na majanga hayo zilikuwa ni 100 lakini kufikia jioni ziliongezeka mpaka kufikia kaya 178 ,ni kaya nyingi kwa kweli kwani wananchi hao wanapata changamoto  kwa sasa.

Pia Naibu waziri huyo amewapatia pole wananchi hao zilizotolewa na Rais wa jamhuri  ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa kusema anatambua kilichotokea katika jimbo la Mkuranga na kuwataka  kuzidisha maombi ili Mungu awaondolee majanga.

Aidha katika ziara hiyo ya kuwatembelea wahanga hao Ulega ametembelea familia iliyopoteza mama na mtoto  kwa kuuwawa kwa radi.
"Ofisi ya mbunge imetoa kiasi cha zaidi ya milioni 3 ili kusaidia baadhi ya wahanga wa nyumba zilizoezuliwa na  upepo mkali na itaendelea kuwasaidia  ili kuhakikisha kila  mmoja anarudi kwenye nyumba yake na kuendelea na shughuli zake za uzalishaji"Alisema Ulega.

Kwa upande  wake shuhuda wa tukio hilo,Juma Said  alisema  kuwa radi iliposhuka katika maeneo hayo hali ya hewa kama ilibadirika yote mama wa familia hiyo alikuwa nje ghafla alianguka na huku vijana waliokuwa ndani walipiga kelele ndio tuliwai kutoa msaada kwa mama huyo kimkimbiza hospital ila kijana alikuwa ameshakwisha kufariki.
Naibu Waziri wa Mifugo na  Uvuvi  mbunge  wa Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega   akiwapa pole wanafamilia  waliokumbwa na majanga ya kubomoka kwa nyumba zao na kupelekea kupata hifadhi kwa wasamalia wema.
Naibu Waziri wa Mifugo na  Uvuvi  mbunge  wa Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega   akiwapa pole wanafamilia  waliokumbwa na majanga ya kubomoka kwa nyumba zao na kupelekea kupata hifadhi kwa wasamalia wema.
Naibu Waziri wa Mifugo na  Uvuvi  mbunge  wa Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega   kulia akiwa amekaa na wafiwa katika msiba , ambapo aliwafariki na kuwaomba kuendelea kuwa na subra  katika kipindi hiki  kigumu ,Wananchi wa vikindu ambao ndio waathirika wakubwa wanapaswa kuendelea kuwa watulivu.


Naibu Waziri wa Mifugo na  Uvuvi  mbunge  wa Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega akimsikiliza mmoja wa wananchi ambae nyumba yake ilikumbwa na majanga ya kubomoka na kupelekea kupata hifadhi kwa wasamalia wema.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)




Hivyo makala ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA

yaani makala yote ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2019/04/ulega-awafariji-walioathiriwa-na-mvua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ULEGA AWAFARIJI WALIOATHIRIWA NA MVUA NA KUSABABISA NYUMBA ZAO KUBOMOKA"

Post a Comment

Loading...