Loading...

CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI.

Loading...
CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI.
link : CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI.

soma pia


CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI.


Chama_Cha_Mapinduzi_Logo
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,  Dkt.Abdalla Juma Saadalla “Mabodi”  , kwa niaba ya wafanyakazi na wanachama wote wa CCM amewatumia salamu za rambi rambi wanafamilia, wa Marehemu Bi. Rahma Rashid kilichotokea  April 17 mwaka huu, nyumbani kwake Magomeni Unguja.
Dkt. Mabodi alisema Chama kimepokea kwa masikitiko ,majonzi na huzuni mkubwa taarifa ya kifo cha aliyekuwa mwanachama wake huyo , ambaye wakati wa uhai wake alijitolea muhanga kwa maslahi ya CCM.

Alitoa pole kwa familia ya Marehemu na kuongeza kuwa Chama hicho kinaungana na ndugu, marafiki na watu wa karibu wa
na kuongeza kuwa Chama kinatoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa marehemu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo ya msiba huo.
Marehemu huyo, ambaye enzi za uhai wake alikuwa ni mshauri wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar  katika masuala ya Sanaa ya utenzi, kazi aliyofanya kwa ufanisi mkubwa.
Alieleza kwamba enzi za uhai wake Marehemu huyo alikuwa ni miongoni mwa Watunzi mashuhuri wa Tenzi mbali mbali zikiwemo za kielimu, kijamii na kisiasa ambazo zilimpatia sifa ndani na nje ya Zanzibar.
“Marehemu Bi.Rahma ataendelea kubaki katika kumbukumbu za Chama chetu kutokana na uhodari wake katika masuala mbali mbali ya kijamii na kisiasa hasa kwa mambo yaliyokuwa yakihusu chama chetu.
Wakati wote alikuwa tayari kufanya kazi za Chama bila ya kujali muda wala maslahi ya binafsi, hivyo na sisi tuliobaki tukiwa hai kwanza tufuate  nyayo zake  kwa kuwa  waadilifu na wazalendo kwa Nchi na Chama pia  tumuuombee Dua yeye pamoja na Wazee wetu waliotangulia mbele ya haki uko walipo wapumzike kwa amani.”, alisisitiza Dkt. Mabodi na kuongeza kuwa CCM itaenzi mambo mema aliyayaacha kwa vitendo.
Wasifu wa Marehemu huyo ambaye alikuwa ni Mwalimu wa Skuli za msingi hapa  Unguja  na baadae kuteuliwa kuwa Mnukuu wa Ikulu Zanzibar  na kufanya kazi hapo hadi lustaafu kwake na amefariki akiwa nab umri wa miaka 69.
Tunaomba  Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Bi.Rahma Rashid , Mahala pema peponi . Amin.


Hivyo makala CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI.

yaani makala yote CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/ccm-zbar-yatoa-salamu-za-rambi-rambi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CCM Z’BAR YATOA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA MSHAURI WA MASUALA YA UTENZI ,IDARA YA UENEZI."

Post a Comment

Loading...