Loading...

CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania

Loading...
CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania
link : CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania

soma pia


CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania

A 1
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. A.P. Makakala akieleza jambo kwa Mufti Mkuu wa Tanzania , Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally, alipomtembelea Mufti Ofisini kwake Kinondoni leo asubuhi.
A
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. A.P. Makakala akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ofisini kwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally, leo asubuhi Makao Makuu ya BAKWATA, Kinondoni, Dar es Salaam. Katikati ni Mshauri wa Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Khalid.
A 2
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. A.P. Makakalla akiwa katika picha ya pamoja na Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally, pamoja na baadhi ya Masheikh na Maafisa wa Ofisi ya Mufti leo asubuhi Makao Makuu ya BAKWATA, Kinondoni, Dar es Salaam


Hivyo makala CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania

yaani makala yote CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/cgi-atembelea-ofisi-ya-mufti-wa-tanzania_18.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CGI Atembelea Ofisi Ya Mufti Wa Tanzania"

Post a Comment

Loading...