Loading...

KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE

Loading...
KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE
link : KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE

soma pia


KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE


3F6E14A000000578-0-image-a-34_1492718820171
Celta Vigo imepata safe ya bao 1-1 dhidi ya Genk ya Ubelgiji ambayo anaichezea Mtanzania Mbwana Samatta.
Sare hiyo inaivusha Celta hadi nusu fainali ya Europa League kwa kuwa mechi ya kwanza nyumbani ilishinda kwa mabao 3-2.
Juhudi za Samatta kuhakikisha Genk inasonga mbele dhidi ya timu hiyo ya Hispania, ziligonga mwamba.
Mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Cristal Arena ilikuwa ngumu na Celta walianza kupata bao katika dakika ya 63 kupitia Pione Sisto lakini wenyeji wakasawazisha kupitia Leandro Trossard.


Hivyo makala KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE

yaani makala yote KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/krc-genk-ya-samatta-yafia-nyumbani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE"

Post a Comment

Loading...