Loading...

MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU.

Loading...
MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU.
link : MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU.

soma pia


MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU.

Image result for picha za mabomba ya maji
Na Daudi Manongi
mwambawahabari
Wizara ya Maji na Umwagiliaji imesema kuwa mkandarasi  ameanza kazi ya ujenzi wa mabomba ya usambazaji katika maeneo ya Malamba Mawili,Msigani,Mbezi Luisi,Msakuzi,Kibamba,,Kiluvya,Mloganzila na Mailimoja na atakamilisha kazi hiyo mwaka huu 2017.

Hayo yamesemwa leo Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Isack Kamwelwe wakati akijibu hoja mbalimbalia za wabunge.

“Baada ya kukamilika kwa mradi maeneo mengi ndani ya kilomita 12 ya pembezoni mwa  bomba kuu la Ruvu Juu yameanza kupata huduma ya Maji”,Aliongeza Mhe.Kamwelwe.

Amesema kuwa maeneo ambayo yanapata maji kwa sasa kutoka Bomba la Ruvu Juu ni pamoja na Mlandizi na vitongoji vyake, Visiga, Misugusugu, Soga, Korogwe, Picha ya Ndege, Kwa Matiasi,Tumbi, Mailimoja, Pangani, Kiluvya, Kibamba, Mloganzila, Mbezi kwa Yusufu,Mbezi Mwisho, Kimara, Mavurunza, Baruti, Kibo, Kibangu,Tabata, Segerea, Kinyerezi na Karakata.

Aidha maeneo ambayo  bado hayajaanza kupata huduma ya maji yatapata huduma hiyo baada ya utekelezaji wa miradi mipya ya kujenga mtambo wa mabomba ya kusambaza maji katika maeneo yote ambayo hayana huduma hiyo, Amesema kuwa miradi hii itatekelezwa kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha .


Hivyo makala MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU.

yaani makala yote MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/04/mkandarasi-aanza-kazi-usambazaji-maji.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKANDARASI AANZA KAZI USAMBAZAJI MAJI PEMBEZONI MWA BOMBA KUU RUVU JUU."

Post a Comment

Loading...